Kwann watu wanaidharau degree ya Open University?

Mkuu, hv tofauti ya advanced diploma na diploma ni ipi.? Kwa hapa Tanzania kuna advanced diploma.?
 
Mkuu, hv tofauti ya advanced diploma na diploma ni ipi.? Kwa hapa Tanzania kuna advanced diploma.?
Yes utofauti upo kati advance diploma & diploma, advance diploma inahadhi sawa na degree na kiukwel ukikuta mtu mwenye advance diploma yupo nondo kuliko mwenye bachelor degree
 
Best comment

Pamoja na Uchambuzi wako wa kisomi nashangaa neno degree/digrii limekushinda kabisa

Btw uzi umeishia hapa, hakuna kilaza wa chuo chochote anayejiona bora ataendeleza mjadala
Kwa nilivyo msoma sidhani kwamba limemshinda, nadhani amelitumia kwa makusudi kabisa labda tu kwa kuwa hakuliwekea quotation ('digilii').
 
Yes utofauti upo kati advance diploma & diploma, advance diploma inahadhi sawa na degree na kiukwel ukikuta mtu mwenye advance diploma yupo nondo kuliko mwenye bachelor degree
Bc ndo maana mm nimepigwa chini kwenye ajira portal kwenye kaz flan hv
 
Lkn kwasasa iv hakuna chuo kinachotoa advance diploma
Yah ht mm najua hvy ndo mana nkauliza hapa Tz kuna advanced diploma, lakini nashangaa kwann wanaiweka kwenye qualifications
 

Ufafanuzi mzuri sana.
Ahsante na Hongera sana.
 
Aisee hili susla la kuidharau degree ya OUT kwa kiasi flani lina ukweli! Mie mwenyewe nilitaka kwenda huko ili niendelee na mishe zangu za pesa huku nikipiga kitabu. Aisee kuna uncle wangu mmoja akaniambia ukisoma huko utakuja jilaumu kwamba bora pesa yote uliyolipa ungeinvest kwenye bussiness! Ni kweli kuna watu wameshasoma huko toka miaka mingi mpaka leo wanasotea ajira, ni kila unakokwenda ukikarimiwa sana utaambiwa uache namba ya simu, alafu inakuwa imetoka!
 
Inasemekana vilaza wakijasoma huko huwa na uhakika wa kufuzu masomo yote!
 
Kuna mawaziri wamesoma open, na kuna waliosoma vyuo vikuu vingine hawana ajira miaka nenda rudi
 
Aisee wewe unayebisha jaribu kufanyia experiment wewe mwenyewe au peleka ndugu au mtoto wako huko alafu akihitimu anza kuzunguka nae kutafta employment ndo utajua ukweli ulivyo nina hakika hata mtoa post yuko positive zaid kwenye disadvantage ya kusoma OUT!
Hicho chuo wanaosoma kwa mafanikio ni watu ambao tayari wana employment sasa anataka kurefusha kimo cha elimu lakini sio eti umetoka zako faorm six alafu ukajipeleka huko badae uje utegemee soko la ajira likubebe, umepotea aisee!
 
Hata kwenye kufanya kazi walomaliza huko Wengine utakuta ni wazito sana kujifunza na kuelewa kazi na kuifanya under less supervision!
 
Open University ni elimu ya kisasa inayotufaa sisi wazee ambao hatutaki kuacha majukumu mengine.

Yaani ninasoma wakati ninalinda ajira yangu. Hii ndio njia ya kisasa. Elimu sio ugomvi. Yaani utoke Mbozi kwenda kusoma Arusha chuo cha Makumira, unaacha kazi, mke na watoto hizo akili au matope? Tena degree yenyewe ualimu wa Kiswahili na History teh teh teh
 
Hakuna anaye wadharau ni wewe tu unafeel inferior kwa kuhisi unadharauliwa
 
Hello Habarini za wanajamii forum?

Nahitaji kusoma degree ya Bachelor of science in Energy Resources Open University kwa anaefaham namna ya usomaji wa masomo ya science katika chuo hiki anisaidie maana kwa sasa mimi ni muajiriwa na nahitaji kusoma hii degree!
pia Advance nilisoma EGM na O-Level nilifaulu vizuri tu masomo ya science ila wamesema watanipokea angali Advance sikusoma Physics!
Swali je kuna uwezekano wa kuperform vizuri kama adavance sikusoma physics?

Msipuuze wadau nategemea sana mawazo na ushauri wenu asanteni sana.

asanteni sana kwa msaada wenu wa mawazo.
 
Inasemekana vilaza wakijasoma huko huwa na uhakika wa kufuzu masomo yote!
si kweli. nawafah ma officer wakubwa serikalini. vyombo vya ulinzi na baadhi ya mawaziri waliosoma open.
ndio kusema ni vilaza... sidhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…