Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 30
- 42
swali na umri mbna haviendaniHabari zenu wakuu , mimi ni kijana wa miaka 19 ambae nimekutana na matatizo katika maisha yangu ya mapenzi hadi sasa nimeshaacha wanawake 11 na kuachwa mara 2 je nitakuwa na shidabgani maana kama mapenzi nayajua haswa ila chaajabu niambulia kuachwa tu kila siku
Karibuni wakuu
Mapenzi na shule ni chai na mrenda.. soma shule we mtoto kwanza ukikua ndio uje tujadili mambo makubwa kama haya kwa sasa hicho kiatu ni kikubwa kwakoHabari zenu wakuu , mimi ni kijana wa miaka 19 ambae nimekutana na matatizo katika maisha yangu ya mapenzi hadi sasa nimeshaacha wanawake 11 na kuachwa mara 2 je nitakuwa na shidabgani maana kama mapenzi nayajua haswa ila chaajabu niambulia kuachwa tu kila siku
Karibuni wakuu
DOGO soma dogo, ivi bado unaamini money is better than education!Habari zenu wakuu , mimi ni kijana wa miaka 19 ambae nimekutana na matatizo katika maisha yangu ya mapenzi hadi sasa nimeshaacha wanawake 11 na kuachwa mara 2 je nitakuwa na shidabgani maana kama mapenzi nayajua haswa ila chaajabu niambulia kuachwa tu kila siku
Karibuni wakuu