Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Lini mtapost nyuzi za timu yenu ya Simba?Japo huu usemi wa "... Kwao ni kama kwetu". [emoji196][emoji196] wameiga kutoka kwa Mashujaa fc, sio mbaya [emoji23], naona utawafaa sana kukusanya buku 2 za kubet kutoka kwa [emoji196][emoji196] fans wote....
Simba hatuitaji sapoti kwa nyuzi zetu Ila sisi tunasapoti nyuzi za πΈπΈ maana wanahitaji msaada, nimeshatuma buku 2 kuwasapoti πΈπΈ.Lini mtapost nyuzi za timu yenu ya Simba?
Kolokhamsa Kungwi toka kijiweni Magomeni Mapipa likijiropokea wazo lililomjia kichwani ghafla ghafla kama ndoto vile [emoji1]Simba hatuitaji sapoti kwa nyuzi zetu Ila sisi tunasapoti nyuzi za [emoji196][emoji196] maana wanahitaji msaada, nimeshatuma buku 2 kuwasapoti [emoji196][emoji196].
Tuma na wewe, kwao ni kama kwetu twendeni kwa Madiba.
Ina maana hauna buku 2 mkuu?Kolokhamsa Kungwi toka kijiweni Magomeni Mapipa likijiropokea wazo lililomjia kichwani ghafla ghafla kama ndoto vile [emoji1]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Daima mbele nyuma mwiko.Nitacheza ili nitoe mchango kwa timu yangu
Anakuja Laban Og na Kalpana saizi zako hao, usiniambie sikukujuza kabla hawajaja [emoji4]Ina maana hauna buku 2 mkuu?
Waje tu ππAnakuja Laban Og na Kalpana saizi zako hao, usiniambie sikukujuza kabla hawajaja [emoji4]
πDaima mbele nyuma mwiko.
Bet mkuu.
SawaJapo huu usemi wa "... Kwao kama kwetu". [emoji196][emoji196] wameiga kutoka kwa Mashujaa fc, sio mbaya [emoji23], naona utawafaa sana kukusanya buku 2 za kubet kutoka kwa [emoji196][emoji196] fans wote.
Wametoa sadaka ya Tsh milioni 240 kwa kuingiza mashabiki 48,000 pale kwa Mkapa yaani 5,000 Γ 48,000 sasa tushikamane nao tubet hizo buku 2 ili [emoji196][emoji196] wapate milioni 240 Γ7
Daima mbele nyuma mwiko.
View attachment 2941818