Stephen Ngalya Chelu JF-Expert Member Joined Oct 31, 2017 Posts 8,252 Reaction score 18,335 Nov 20, 2017 #1 Problem solved
Wa kusoma JF-Expert Member Joined Jul 30, 2011 Posts 3,454 Reaction score 2,975 Nov 20, 2017 #2 Kapime HIV? Nilishawahi isikia hii kuuma kwa kwapa na Sikio. Wahi angaza mkuu
U unique dada JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 770 Reaction score 605 Nov 20, 2017 #3 Wa kusoma said: Kapime HIV? Nilishawahi isikia hii kuuma kwa kwapa na Sikio. Wahi angaza mkuu Click to expand... Hii kiboko kuumwa kwapa na sikio vinauhusiano gani na Angaza Mkuu
Wa kusoma said: Kapime HIV? Nilishawahi isikia hii kuuma kwa kwapa na Sikio. Wahi angaza mkuu Click to expand... Hii kiboko kuumwa kwapa na sikio vinauhusiano gani na Angaza Mkuu
DRIVE Senior Member Joined Aug 14, 2014 Posts 145 Reaction score 112 Nov 20, 2017 #4 Wa kusoma said: Kapime HIV? Nilishawahi isikia hii kuuma kwa kwapa na Sikio. Wahi angaza mkuu Click to expand... Yes huwa kunaendana lakini ni lazima yaume yote na anakua ana hisi kama ni jipu kwa ndani na masikioni ndani kabisa yote kwa pamoja inakua ina ashiria vibaya ila kwa huyu sidhani ila anaweza enda kupima kujiridhisha
Wa kusoma said: Kapime HIV? Nilishawahi isikia hii kuuma kwa kwapa na Sikio. Wahi angaza mkuu Click to expand... Yes huwa kunaendana lakini ni lazima yaume yote na anakua ana hisi kama ni jipu kwa ndani na masikioni ndani kabisa yote kwa pamoja inakua ina ashiria vibaya ila kwa huyu sidhani ila anaweza enda kupima kujiridhisha
P Pure nomaa JF-Expert Member Joined Dec 10, 2011 Posts 1,158 Reaction score 1,385 Nov 20, 2017 #5 Mkuu utakuwa na stress sana
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Nov 20, 2017 #6 Sio mtoki? Una kidonda kikubwa popote kwenye Mkono ama mbavu? Kama huna kidonda nenda hospitali kwa uchunguzi
Sio mtoki? Una kidonda kikubwa popote kwenye Mkono ama mbavu? Kama huna kidonda nenda hospitali kwa uchunguzi