Kwaresma ni sikukuu ya kipagani

Wazee kumbe Kwaresma ni sikukuu na hamsemi?
 

Shetani aliamua apitie dola ya Rumi kufanya uKristo kuwa ni dini. Ukatoliki na Upapa ni mpango wa Ibilisi kujaribu kuiharibu kazi ya Mungu duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…