johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa Sasa Chadema imetoka mikononi mwa Mabepari na kuwa mikononi mwa Wananchi wazalendo
Tutamwomba muasisi aliyebakia Mzee Mtei atoe ridhaa Ili Jina la Chama libadilike tuanze ukurasa Upya.
Mapendekezo ya Jina Jipya yanakaribishwa Ili tuyashindanishe na hili lililofikiriwa.
Ikumbukwe hata bendera ya awali ya CHADEMA siyo hii inatotumika Sasa.
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lissu
Ahsanteni sana 🐼
Tutamwomba muasisi aliyebakia Mzee Mtei atoe ridhaa Ili Jina la Chama libadilike tuanze ukurasa Upya.
Mapendekezo ya Jina Jipya yanakaribishwa Ili tuyashindanishe na hili lililofikiriwa.
Ikumbukwe hata bendera ya awali ya CHADEMA siyo hii inatotumika Sasa.
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lissu
Ahsanteni sana 🐼