Kwasasa App zote zinapatika Playstore pakua na Andika maoni yako.

KENGE 01

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
1,705
Reaction score
4,217
Aisee

Sasa naelewa kwanini wengi baada ya kutumia Hii App wanaikimbia..Jana nimejipinda kuandika UZi Mreefuu. Usio na Tatizo lolote ila anatokea Mod mmoja anafuta bila sababu za msingi?? Kama haturuhusiwi kutambulisha App humu muweke wazi

Tuachane na hayo

Miezi kadhaa nyuma, niliandika Uzi kuhusu juhudi ya kazi niliyoamua kujipa ya kutengeneza App mbili za kipekee kwa ajili ya dini zote mbili kubwa, Soma Zaidi

Biblia Takatifu na Qur-an Tukufu. Hili lilikuwa ni wazo nililolipata ghafla, na nikaamua kulifanyia kazi bila kusita. Hatimaye, kazi hii imekamilika, na napenda kuzitambulisha rasmi App hizi:



Bible Connect


App ya kipekee kwa watumiaji wa Biblia Takatifu. Kupitia Bible Connect, unaweza:

Kusoma Biblia kwa tafsiri tofauti.

Kusikiliza sauti za Biblia.

Kutazama maombi live kutoka makanisa mbalimbali.



Quran Connect


App ya Qur-an Tukufu kwa ajili ya waislamu. Kupitia Quran Connect, unaweza:


Kusoma Qur-an kwa tafsiri mbalimbali.

Kusikiliza usomaji wa Qur-an.


Kutazama ibada za moja kwa moja kutoka Makka na Madina.





Baadhi ya Sifa za App Zote

1. Kusoma, Kusikiliza, na Kutazama Live

Bible Connect: Maombi live kutoka makanisa.

Quran Connect: Ibada live kutoka Makka na Madina.

2. Live TV Stream

3. Kuchat

Unaweza kuanzisha na kushiriki Mada mbalimbali

4. Muonekano Rahisi

App zote zimeundwa kwa muundo maridadi na rahisi kutumia.

Download hapa
1. Bible Connect
Pakua Bible Connect hapa



2. Quran Connect
Pakua Quran Connect hapa


NB: Hii ni kwa watumiaji wa Playstore tu kwasasa.


Nawasilisha
Ahsante
 
Good job
 
Mungu Baba wa Mbinguni akubariki sana ndugu KENGE 01 kwa hii hatua.

Hakika umetenda jambo jema sana sana.
Kongole nyingi sana.
 
Mungu akubariki,lkn mbona hii mod hajaifuta?,na ni kweli nyingine aliifuta?je kama ndivyo ilikuwa na tatizo gani,tujulishe mkuu, maana naamini jf wako smart.
JF ya sasa, bora na Facebook
Nyuzi za maana utapoteza muda. Wewe weka mambo ya kula kimasihara
Hongera kwa Apps. Kwenye TV unaangalia channel zipi?
 
JF ya sasa, bora na Facebook
Nyuzi za maana utapoteza muda. Wewe weka mambo ya kula kimasihara
Hongera kwa Apps. Kwenye TV unaangalia channel zipi?
Channel Zote za Dini mfano kuna moja inaitwa Dodoma TV ilikua inaonesha Buldoza Live..Kwahiyo channel Zote za Dini utazipata
 
Hy
Hiyo hadidhi niyakiswahiil au mana nnataka niwe nnaskiliza hadiith
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…