Hii inanishangaza sana,
Maana ninachojua Mwalimu ndo huwa anapendekeza aina gani ya mchezaji asajiliwe kutokana na falsafa yake na aina ya mpira anaofundisha, sasa hawa Yanga wanasajili vipi wachezaji bila Mwalimu??
Nani anashauri mchezaji wa kusajiliwa?