Kwaya isitumike kivuli cha uzinzi!!!!!!

Msilaumu bure kwani imeandikwa kuwa 'mtu ula kilicho karibu yake'sasa unataka mwana kwaya akachape/akachapwe na sisi tambala?Pia kumbukeni kuwa kila atangazae injili apate riziki katika injili hiyohiyo,sasa wao kukongomezana tatizo nini?
mkuu unaonaje nikikuambia USHINDWE????!!!!
 

You are right, you can say that again! Na ukitaka kutombewa mkeo kirahisi mwache azoeane zoene sana na watu wa kanisani kwao, sijui wazee wa Kanisa, sijui Mchungaji kamwita wana kikao.....!!!! Uzumbukuku wa namna hiyo mimi sitaki kusikia kabisa!
 


Hata mimi nimejifunzia ngono kwa mtoto wa geti kali aliyekuwa anaimba kwaya, ndicho kilikuwa kisingizio cha kutoka kwao kila siku ya Alhamisi ambayo ndiyo ilikuwa siku ya kufanya mazoezi ya kwaya!
 
mkuu onesha kuwa umepevuka kidogo akili,
punguza ukali wa maneno, hapa siyo genge la wahuni kiasi hiko kha!

Neno gani uliloona la kihuni hapo? Hilo la kutombewa ua? Call a spade a spade and not a big spoon!!!
 
Hata makasisi na wachungaji,watawa na waumini wamo ktk hili....mwisho wa yooote ni umaskini na laana tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…