Kweli Ajira zimekua ngumu mtaani.

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Jamaa X kaitwa kwenye Usaili katika kampuni flani ile wamejipanga wanasubiria kuitwa ikifka zamu ya Jamaa X

Ameitwa ile anaingia ndani akaambia WAIT PLEASE...Jamaa X akajibu 75kg boss.

Ilibidi wamwambie next week aje aanze kazi hata inteview haikuendelea tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…