Kweli asilimia karibu yote ya wanaume wa Tanga ni wavivu, Nauliza tu

Kweli asilimia karibu yote ya wanaume wa Tanga ni wavivu, Nauliza tu

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Leo nipo maeneo ya Matejoo Arusha. Kwa mara ya sita sasa sikio langu limekosa mipaka ya kusikiliza hili jambo. Jana wadada fulani hapa maeneo niliyo fikia, walikuwa wakimteta mwenzao ambaye amechumbiwa na kijana toka mkoa wa Tanga. Moja wapo akisema, hata mahari iwe milioni kumi, siolewi na mtu wa Tanga. Wavivu haoo!

Jamani Tanga kunani, Je ni kweli au uvumi tu. Nini chanzo cha yote?
 
ndugu sasa mitopiki yako inaboa, kama unafanya research ya makabila tujulishe tukupe e mail zetu utume questionaire tujibu maswali yote kwa mpigo sio kila siku unakuja na moja moja yanachosha sana
 
ndugu sasa mitopiki yako inaboa, kama unafanya research ya makabila tujulishe tukupe e mail zetu utume questionaire tujibu maswali yote kwa mpigo sio kila siku unakuja na moja moja yanachosha sana

Tatizo ni lako ndugu. Ulazimishwi kosoma topic zangu. Ukiona Msandawe, ipotezee.
 
Back
Top Bottom