Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Kwa kweli mi utafiti wa kisayansi utakuja kunikuta baadaye tayari nishafikaga huko.
Unajua mambo mengi tu yaliyopo kiasili, huwa tayari ndio ukweli sema tu unasubiria sayansi kuja kutoa maelezo kwamba kwa nini hicho kitu ni kweli.
Lakini mi sio mjinga. Sitasubiri hadi mwanasayansi wa nje aje aseme oooh hiki kitu ni kizuri tumia. Ni kama mtu kusubiri mzungu ndio aje agundue mlima Kilimanjaro. Sio mimi
Kivideo hapo chini kinatukumbusha kuwa. Kuna uwezekano kitu kikavaliwa tu mkononi halafukikaleta afya kwa mwili wote.
Kama utavaa urembo mikononi anyways, kwa nini usivae madini halisi. Ni nini kinachokufanya uone kwamba kuvaa bangili ya plastiki ni sawa lakini sio kuvaa bangili ya metali halisi.
Hivi unajua kama shaba na madini mengine hayatunzi uchafu na wadudu, ukilinganisha na hayo maplastiki.
Tafiti zinaonesha hata hospitali zenye koki, handrail na vitasha vyenye shaba wagonjwa wake hawapati maambikizi hospitalini 'nosocomial infections'
Tafakari mwenyewe. Si unayo akili bhana.
Mi kwa tafakari uangu ntasema hivii: Nadhani elimu ndogo ndiyo iliyosababisha mtu aseme kwamba 'huyu mtu atakuwa analindwa na mizimu, ndio maana afya yake ipo vizuri' kumbe hakuna cha mzimu wala nn, ni sayansi tu.
Au wazee wa zamani (wa kisukuma na makabila mengine) hawakujua ni ki vipi watu wenye shida za kiafya, wanakaa sawa wakivalishwa metali mkononi. Ndio wakasingizia ni mizimu.
We unasemaje
Imetolewa whatsapp channel: Masala Kulangwa.
Unajua mambo mengi tu yaliyopo kiasili, huwa tayari ndio ukweli sema tu unasubiria sayansi kuja kutoa maelezo kwamba kwa nini hicho kitu ni kweli.
Lakini mi sio mjinga. Sitasubiri hadi mwanasayansi wa nje aje aseme oooh hiki kitu ni kizuri tumia. Ni kama mtu kusubiri mzungu ndio aje agundue mlima Kilimanjaro. Sio mimi
Kivideo hapo chini kinatukumbusha kuwa. Kuna uwezekano kitu kikavaliwa tu mkononi halafukikaleta afya kwa mwili wote.
Kama utavaa urembo mikononi anyways, kwa nini usivae madini halisi. Ni nini kinachokufanya uone kwamba kuvaa bangili ya plastiki ni sawa lakini sio kuvaa bangili ya metali halisi.
Hivi unajua kama shaba na madini mengine hayatunzi uchafu na wadudu, ukilinganisha na hayo maplastiki.
Tafiti zinaonesha hata hospitali zenye koki, handrail na vitasha vyenye shaba wagonjwa wake hawapati maambikizi hospitalini 'nosocomial infections'
Tafakari mwenyewe. Si unayo akili bhana.
Mi kwa tafakari uangu ntasema hivii: Nadhani elimu ndogo ndiyo iliyosababisha mtu aseme kwamba 'huyu mtu atakuwa analindwa na mizimu, ndio maana afya yake ipo vizuri' kumbe hakuna cha mzimu wala nn, ni sayansi tu.
Au wazee wa zamani (wa kisukuma na makabila mengine) hawakujua ni ki vipi watu wenye shida za kiafya, wanakaa sawa wakivalishwa metali mkononi. Ndio wakasingizia ni mizimu.
We unasemaje
Imetolewa whatsapp channel: Masala Kulangwa.