Kweli baadhi ya wanawake hawaridhiki

Pisi ya kizungu inaleta pigo za kizaramo piga chini chukua ya kilatina wanajua shida hawa
Kiongoz Nilichogundua binadam tunafanana sana..yaan hakuna mweus mchina wala mzungu ni hiv umbea majungu unafki wote tuko sawa...utofaut wetu ni kwamba hawa wako level nyingne ya kiuchumi tu ila character za kibinadam ni zile zile kaka...pia wanachapa kaz baasi..mengne tuko sawa..ushakunaku wanao sana na majungu pia
 
Kumbe umeolewa Ulaya? Hongera sana
 
natamani ngozi nyeupe niunge na mimi bas
Hahah..hawa watu kuwapata ni had waku trust kwelkwel..maana ubaguz na stereo types kuhusu watu weusi wanafundishwa kutokea utoton...tunaitwa black sheeps..yaan wenye laana..hahah..mkuu watu weupe wanachukia sana watu weusi...ni vile inatokea tu mnajuana sehem za kaz anakusoma anaona kumbe hawa watu ni wa kawaida tu sio kama tulivyoambiwa bas ukipiga mashine na kujituma inavyotakiwa kwisha
 
Ukioa mswahili kazi ukioa mzungu kazi iko pale pale.
 
Vumilia tuu mkuu,hamna namba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…