Kweli binadamu ana 'roho'? Iko sehemu gani hasa mwilini?

Kweli binadamu ana 'roho'? Iko sehemu gani hasa mwilini?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Wajuzi wa mambo haya mje hapa kunipa elimu juu ya hili. Je,iko kichwani,kifuani,moyoni,miguuni au mikononi? Mtu anapokufa,'roho' hufanyaje?

Wakuu Kiranga Shy land na Ishmael nawakaribisha pamoja na wengine kwa elimu.
 
Last edited by a moderator:
Wajuzi wa mambo haya mje hapa kunipa elimu juu ya hili. Je,iko kichwani,kifuani,moyoni,miguuni au mikononi? Mtu anapokufa,'roho' hufanyaje?

Wakuu Kiranga Shy land na Ishmael nawakaribisha pamoja na wengine kwa elimu.

Unfortunately, many people are being indoctrinated into this Verficationism / Scientism / Modernism unwittingly.

Most things true cannot be verified empirically. Most things you know to be true have not been scientifically verified. Science is a wonderful methodology for discerning probable physical truths, but it is very limited in scope.

You need to adjust your expectations to reality Dirk. Otherwise you will miss out on most truth because you have an unreasonable standard.

I will explain to you as we go on in this thread.
 
Ni swali zuri lakini kabla hawajukuja wakina Kiranga UHURU JR Ishmael kukupa ufafanuzi zaidi.

mimi nigependa kukuliza swali, unajua upepo? kama ndio uniambie
uko wapi?? je,? upepo huwanga unakufa kama ndio au hapana ni kwa nini?
Ukijibu hayo maswali nitapata pakuanzia

Habari ya upepo tushaiongelea hapa kuanzia chanzo chake (mwendo wa hewa kutoka kwenye pressure kubwa kwenda kwenye ndogo) mpaka kifaa cha luupimia (anemometer).

Roho ni nini na tutajuaje kwamba ipo kweli na si hadithi ya kuungaunga tu?
 
Last edited by a moderator:
Ni swali zuri lakini kabla hawajukuja wakina Kiranga UHURU JR Ishmael kukupa ufafanuzi zaidi.

mimi nigependa kukuliza swali, unajua upepo? kama ndio uniambie
uko wapi?? je,? upepo huwanga unakufa kama ndio au hapana ni kwa nini?
Ukijibu hayo maswali nitapata pakuanzia

Dirk, you know for sure and fact that Kiranga has no ability to support her notions.

Non theist always demanding physical proof of a non-physical entity which is asinine, because non theists are too intellectually lazy to think through evidence.
 
Last edited by a moderator:
Habari ya upepo tushaiongelea hapa kuanzia chanzo chake (mwendo wa hewa kutoka kwenye pressure kubwa kwenda kwenye ndogo) mpaka kifaa cha luupimia (anemometer).

Roho ni nini na tutajuaje kwamba ipo kweli na si hadithi ya kuungaunga tu?

Then provide an example of a valid refutation? You can't. Your logic IS flawed. Deeply and critically flawed.

That's why reasonable people expect evidence. Unreasonable people expect proof. You expect physical evidence of a non-physical being or things? That's like expecting to find water with your metal detector.

Your denial is empty. You can refute nothing. Why does something exist rather than nothing?
 
Habari ya upepo tushaiongelea hapa kuanzia chanzo chake (mwendo wa hewa kutoka kwenye pressure kubwa kwenda kwenye ndogo) mpaka kifaa cha luupimia (anemometer)
.Kwa hiyo baada yakuongea hayo yote hayo muaafaka wenu mulibaini nini? upepo unakufa au haufi??

Roho ni nini na tutajuaje kwamba ipo kweli na si hadithi ya kuungaunga tu?
 
Habari ya upepo tushaiongelea hapa kuanzia chanzo chake (mwendo wa hewa kutoka kwenye pressure kubwa kwenda kwenye ndogo) mpaka kifaa cha luupimia (anemometer).

Roho ni nini na tutajuaje kwamba ipo kweli na si hadithi ya kuungaunga tu?
FYI:

Mathematics, logic and science are branches within philosophy.

You cannot build upon anything that has no foundation in reason. The Christian scientists like Francis Bacon who invented Empiricism (the modern scientific method) did so on the basis that God was reliably rational and unchanging, so His order could be discerned by falsification.

There is no dichotomy between science and religion. They are separate areas of investigation. They scientific method is designed to investigate Natural physical phenomena. It is very good at this limited role, but it is limited. Science cannot tell you most truths. Science can prove that glass can cut skin, but science is impotent to prove hitting grandma over the head with a liquor bottle is morally wrong. Science is morally neutral.

Non theism is mindless
 
.....kwa utafiti wangu roho ipo kwenye vitals organ, ambavyo ni ubongo,moyo,mapafu, ini na tumbo. Hivi vitu vimeshikilia roho.

Kimojawapo kisipofanya kazi hapo ndio mwisho wako umefika.
 
.....kwa utafiti wangu roho ipo kwenye vitals organ, ambavyo ni ubongo,moyo,mapafu, ini na tumbo. Hivi vitu vimeshikilia roho.

Kimojawapo kisipofanya kazi hapo ndio mwisho wako umefika.

hujamaliza kujibu swali.

mtoa mada umeuliza roho inakaa wapi katika mwili? tiyari ushajibu

pili? mtu akifa roho inaenda wapi??, bado hujajibu.
 
.Kwa hiyo baada yakuongea hayo yote hayo muaafaka wenu mulibaini nini? upepo unakufa au haufi??

Hilo hata halikuwa swali.

Swali la dada mmoja lilikuwa utapingaje uwepo wa roho kwa sababu haijulikani ni nini na haipimiki na hapo hapo ulakubali uwepo wa upepo ambao nao (alivyofikiri yeye huyu dada) haujulikani ni nini na haupimiki?

Jibu langu likamuonyesha sio tu upepo unajulikana ni nini na kupimika, bali kuna mpaka ramani za mikondo ya upepo duniani.

Sioni habari ya upepo kufa inakujaje hapa, ingawa napo ulitaka jibu jibu ni kwamba unakufa kwa kuishiwa kani.
 
Hilo hata halikuwa swali.

Swali la dada mmoja lilikuwa utapingaje uwepo wa roho kwa sababu haijulikani ni nini na haipimiki na hapo hapo ulakubali uwepo wa upepo ambao nao (alivyofikiri yeye huyu dada) haujulikani ni nini na haupimiki?

Jibu langu likamuonyesha sio tu upepo unajulikana ni nini na kupimika, bali kuna mpaka ramani za mikondo ya upepo duniani.

Sioni habari ya upepo kufa inakujaje hapa, ingawa napo ulitaka jibu jibu ni kwamba unakufa kwa kuishiwa kani.

Why applaud another avoidance maneuver? None of you can address the argument.

You dodged it too. Your poster is just a silly way of saying non theism is intellectually lazy.

In other words, you're clueless and have no argument.
 
Rejea katika Biblia Takatifu.

( Mwanzo 1 : 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. )

Mungu akaumba mtu = Maana yake Mungu alianza kuumba roho ( mtu/me au ke )..

( Mwanzao 2 : 7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. )

[ Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi = Mungu akafanya mwili yaani akatengeneza mwili kwa mavumbi ], [ akampulizia puani pumzi ya uhai = Roho aliyo ifanya akaiweka ndani ya mwili alio utengeneza kwa mavumbi ] ndipo mtu akawa nafsi hai.

Sisi wanadamu ni roho ki uharisia, na ndio maana mwanadamu anauwezo wa kwenda katika ulimwengu wa Roho au kua katika hali ya ulimwengu huu wa kawaida. Unaweza ona namna Yohana Mtume katika kitabu cha ufunuo.

Na kama tujuavyo ya kua Mungu ni Roho ndio maana akasema

( Mwanzo 1 : 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. )

Na mwili ulio undwa kwa mavumbi ndio una mfanya mwandamu kua halali katika dunia hii, maana viumbe wote walio Roho pasipo na mwili ni ilegal hapa duniani.


Haya ni kwa mujibu wa Biblia, kwa namna nyingine sifahamu.


Wajuzi wa mambo haya mje hapa kunipa elimu juu ya hili. Je,iko kichwani,kifuani,moyoni,miguuni au mikononi? Mtu anapokufa,'roho' hufanyaje?

Wakuu Kiranga Shy land na Ishmael nawakaribisha pamoja na wengine kwa elimu.
 
hujamaliza kujibu swali.

mtoa mada umeuliza roho inakaa wapi katika mwili? tiyari ushajibu

pili? mtu akifa roho inaenda wapi??, bado hujajibu.

......kutokana na bible, mtu akifa roho inarudi kwa muumba ambaye ni Mungu.
 
.....kwa utafiti wangu roho ipo kwenye vitals organ, ambavyo ni ubongo,moyo,mapafu, ini na tumbo. Hivi vitu vimeshikilia roho.

Kimojawapo kisipofanya kazi hapo ndio mwisho wako umefika.

Unagofautishaje roho na uhai katika context yako?

Huoni kwamba unauita "uhai" roho tu na hakuna roho?
 
Kiranga tatizo linalokusumbua hujui maana sahii ya neno "roho" laiti kama ugejua maana na asili yake usigebisha kwamba roho haipo katika mwili wa binadamu.

ikubukwe neno roho halijatokana na lugha za kibantu.
 
Last edited by a moderator:
Rejea katika Biblia Takatifu.

( Mwanzo 1 : 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. )

Mungu akaumba mtu = Maana yake Mungu alianza kuumba roho ( mtu/me au ke )..

( Mwanzao 2 : 7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. )

[ Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi = Mungu akafanya mwili yaani akatengeneza mwili kwa mavumbi ], [ akampulizia puani pumzi ya uhai = Roho aliyo ifanya akaiweka ndani ya mwili alio utengeneza kwa mavumbi ] ndipo mtu akawa nafsi hai.

Sisi wanadamu ni roho ki uharisia, na ndio maana mwanadamu anauwezo wa kwenda katika ulimwengu wa Roho au kua katika hali ya ulimwengu huu wa kawaida. Unaweza ona namna Yohana Mtume katika kitabu cha ufunuo.

Na kama tujuavyo ya kua Mungu ni Roho ndio maana akasema

( Mwanzo 1 : 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. )

Na mwili ulio undwa kwa mavumbi ndio una mfanya mwandamu kua halali katika dunia hii, maana viumbe wote walio Roho pasipo na mwili ni ilegal hapa duniani.



Haya ni kwa mujibu wa Biblia, kwa namna nyingine sifahamu.

Kwa hiyo roho ni neno lingine la kumaanisha uhai tu?
 
Back
Top Bottom