Kweli Bongo shamba la bibi kama alivyosema Jakaya Kikwete lol!!!!Hebu tusaidiane English hii ya Wema

Kweli Bongo shamba la bibi kama alivyosema Jakaya Kikwete lol!!!!Hebu tusaidiane English hii ya Wema

Mboko

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
1,095
Reaction score
293
Wema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
“I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope that’s how they out each other.”Hivi kweli huu ndio ujumbe mzito hii English gani wajameni hivi Kawa Miss Tanzania kiaje mdada huyu au ndio hiyo Chakachua ni Kuchakachue na kutua bwaaaaaaa!!!
 
English si lugha mama kwa hapa kwetu Tanzania kwa hiyo hata kama kakosea sioni ubaya lakini pamoja na hayo tujitahidi kuongea kwa ufasaha ili tueleweke vizuri.
 
Wema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
"I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope that's how they out each other."Hivi kweli huu ndio ujumbe mzito hii English gani wajameni hivi Kawa Miss Tanzania kiaje mdada huyu au ndio hiyo Chakachua ni Kuchakachue na kutua bwaaaaaaa!!!
imekuja na melii
 
mbona wazungu wakikosea kiswahil hatulalamiki eng sio lugha yetu jaman
 
Wewe kiiingereza sio lazima aandike kwa kufuata kanuni,kiingereza unaweza kukitumia unavotaka hasa kama unakijua,wewe huoni kiswahili cha mastaa kinavokuwa??usikall
 
Wewe kiiingereza sio lazima aandike kwa kufuata kanuni,kiingereza unaweza kukitumia unavotaka hasa kama unakijua,wewe huoni kiswahili cha mastaa kinavokuwa??usikall
heeee!kumbe kingereza kirahisi hivyo...
 
Wema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
“I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope that’s how they out each other.”Hivi kweli huu ndio ujumbe mzito hii English gani wajameni hivi Kawa Miss Tanzania kiaje mdada huyu au ndio hiyo Chakachua ni Kuchakachue na kutua bwaaaaaaa!!!

Hata sijaelewa ameongelea nini kwa kweli. Ningeelewa alichokuwa anataka kusema ningekuwa na uwezo wa kumsahihisha. Hii ni aibu.
 
Sasa kama mtu awezi kuandika English iliyonyooka si bora atumie kiswahili tu.
 
Diamond alikiri kwenye Mkasi kuwa anamfundisha umombo,kwa hali hii Diamond analishwaga matango pori.
 
Wewe kiiingereza sio lazima aandike kwa kufuata kanuni,kiingereza unaweza kukitumia unavotaka hasa kama unakijua,wewe huoni kiswahili cha mastaa kinavokuwa??usikall


hahahahahahahaha,.,,....mawazo yako kopirait na ID yako....
Chezea MULUGO wewe...
 
Back
Top Bottom