imekuja na meliiWema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
"I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope that's how they out each other."Hivi kweli huu ndio ujumbe mzito hii English gani wajameni hivi Kawa Miss Tanzania kiaje mdada huyu au ndio hiyo Chakachua ni Kuchakachue na kutua bwaaaaaaa!!!
heeee!kumbe kingereza kirahisi hivyo...Wewe kiiingereza sio lazima aandike kwa kufuata kanuni,kiingereza unaweza kukitumia unavotaka hasa kama unakijua,wewe huoni kiswahili cha mastaa kinavokuwa??usikall
Wema alifikia hatua ya kutoa maneno hayo katikati ya wiki hii kwa kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha yeye, meneja wake Martin Kadinda na Kajala huku akisindikiza na ujumbe mzito uliosomeka:
I always call my poch and I fell so naked without, I need her everywhere with me. I hope thats how they out each other.Hivi kweli huu ndio ujumbe mzito hii English gani wajameni hivi Kawa Miss Tanzania kiaje mdada huyu au ndio hiyo Chakachua ni Kuchakachue na kutua bwaaaaaaa!!!
Sasa kama mtu awezi kuandika English iliyonyooka si bora atumie kiswahili tu.
Wewe kiiingereza sio lazima aandike kwa kufuata kanuni,kiingereza unaweza kukitumia unavotaka hasa kama unakijua,wewe huoni kiswahili cha mastaa kinavokuwa??usikall