Kweli dunia imeisha

Kweli dunia imeisha

chen

Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
64
Reaction score
7
nusu saa iliyopita nikiwa na rafiki yangu maeneo ya magomeni makuti kumetokea tokio ambalo limeniacha mdomo wazi.Ni kijana smart umri 20-25 moja kwa moja alimfuata rafiki yangu na kumpapasa kifuani huku akimwambia amempenda anataka akamnaniliu na atamlipa, dah hapa tulipo nguvu zimetuishia kabisa
 
wala asingeshangaa angetoa huduma kwanza ashangae kama jamaa atapiga mzigo
 
Sijaona cha ajabu hapo mimi, mtu anaomba mzigo badala ya kumhudumia, unapigwa pumbuwazi!
 
mbona wapo wengi tu huku mtaan watu wa mtindo huo=hata hapa JF yupo aliyejitambulisha-nalkumbuka alikuwa anajibu maswali kama kwa wale wenye maswali
 
Sijaona cha ajabu hapo mimi, mtu anaomba mzigo badala ya kumhudumia, unapigwa pumbuwazi!

Ndiyo ajira zenyewe. Mnalalamika hakuna ajira, hajira zinakuja mnaanza kuzikimbia. Wewe hujasikia hawa Dada zetu wanaenda Uchina kuny.... za Waachina na wakirudi wanfungasha makontainer kibao ya bidhaa. Wanaendesha magari ya bei mbaya... Changamkia ajira hizo.
 
nusu saa iliyopita nikiwa na rafiki yangu maeneo ya magomeni makuti kumetokea tokio ambalo limeniacha mdomo wazi.Ni kijana smart umri 20-25 moja kwa moja alimfuata rafiki yangu na kumpapasa kifuani huku akimwambia amempenda anataka akamnaniliu na atamlipa, dah hapa tulipo nguvu zimetuishia kabisa

chen mlishindwa nini kumkemea....................kimya chenu kinaonyesha mliifurahia hiyo khali..........
 
Last edited by a moderator:
Hakuna jambo jipya chini ya jua. Nukuu kutoka kitabu cha mhubiri kwenye Biblia.
 
Magomeni kuna m.a.s.h.o.g.a balaa!hapafai kwenda na mzazi wako maeneo yale, utajisikia kinyaa
 
Back
Top Bottom