Kweli elimu ya mjinga ni majungu, mkataba haukuwa na magumashi yoyote

Kweli elimu ya mjinga ni majungu, mkataba haukuwa na magumashi yoyote

Michael Uledi

Senior Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
132
Reaction score
323
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania, sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI (Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson. Sijawahi kuwa na shaka na wewe.

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu.

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Hata porojo za fursa za gas ya mtwara zilikuwa hizi hizi, na wabunge wa CCM walipakwa mafuta hivi hivi, leo hii baada ya kufahamika kuwa gas yetu imeuzwa, kuna mbunge yoyote wa CCM anathubutu kujitokeza kutetea ule uhuni? Kama wananchi wa Tanzania hawataamka na kufanya machafuko, tutarajie kuuzwa zaidi.
 
Ovyooo!
JamiiForums-1016409659.jpg
JamiiForums915735144.jpg
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Tuambie duration ya contract
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Pesa zitaingia kwenye trakoooo, usipende slope.
Kama unakula unashiba, mshukuru Mungu.

Toka lini wewe kenge ukawa na undugu na DP World. Unafikiri wao ni mazuzu kama wewe, wenzako linapokuja swala la business, it means business sio masihara masihara kama mbunge wako msukuma.
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Wewe umeusoma au umekaririshwa na yale mafisadi yaliyokuwa yanaropoka mjengoni kusifia ujinga?
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Lzm utakua gasho ww
 
We badala ya kulia kwamba tunashindwaje kuzalisha wasomi Compentent na Productive, eti unashangilia mke wako kakabidhiwa kwa mwanaume jirani yako, nduguzo ndo wamemkabidhi.

Uko sawa kweli?
Eti tunaambiwa makontena yatatolewa ndani ya siku moja na nusu badala ya siku tano. Hatujiulizi inakuwaje tunashindwa kuyatoa ndani ya muda mfupi hivi sasa. Leo hii eti Serikali inashindwa kununua machine nne za bilioni 50 kila moja za kupakuwa kontena? tumeingia mkataba wa ajabu tanesco wa ku provide mfumo kwa dola milioni 30!! Tulikosaje pesa ya mitambo?
 
Kikitokea kikundi cha vurugu kama kongo wtz wengi tutajiunga kwa sababu ya mambo ya hovyo yanayifanywa kwa sasa na hii awamu
Na si muda mrefu kuna hatari utasikia tumebinafsisha au kuuza reli ya SGR na bwawa la Nyerere!
Tunasema Serikali haifanyi biashara lakini tunawakabidhi Serikali ya Dubai kuendesha bandari kibiashara!
 
Haukuwa na magumashi ukilinganishwa na upi?

Maccm mkoje? Jinga kabisa!
 
Ni wazi sasa wale wote walikuwa wanapotosha kwa makusudi kuhusu tafsiri ya Sheria kuhusu Mkataba wa DP World Dubai na Serikali ya Tanzania,sasa wameishiwa pumzi kabisa na wapo "bar" wanaulizana kwamba Jamaa wametokaje hawa?

Wabunge wa Bunge letu safari hii walikuwa "watamu sana" katika Ujenzi wa hoja zenye mantinki,uzalendo na weledi mkubwa wala sikuwahi kudhania!Kati kati ya hoja nzito Wabunge wameweza kudigest mambo makubwa na kuweza kuyaeleza kwa Watanzania kwa lugha nyepesi na busara ya viwango vya juu sana!

KiTI(Spika) kilikuwa kimefunikwa na hekima na hofu ya Mungu sana huku akijazwa hekima na maarifa mengi katika kucheza na kutafsiri sheria za Mikataba!Big time Dr Tulia Ackson!Sijawahi kuwa na shaka na wewe!

Misingi ya Umoja wa Kitaifa ilitaka kutikishwa lakini Wabunge wamekataa kwa pamoja kwamba haiwezekani!Mh Nape Mnauye nakuunga mkono sana kwamba lazima tuwakabili mchana na uso kwa uso!

Sasa ni zamu ya Vijana wa CCM kueneza elimu hii nzuri ambayo imetoka ndani ya Bunge letu!

Wajibu huo lazima tuanze sasa!
Mswali fikirishi 1. je nikweli tumeshindwa kufanys biashara ya bandari 2.Je kuhusu usalama wa taifa itakuwaje 3.je hatuna wataalamu wa kufanya upembuzi yakinifu namna ya kuweza kufanya biashara ya upinzani wa zama hizi yaani (Viable business plan), with competitive analysis in a smart world
 
Back
Top Bottom