zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
- Thread starter
-
- #21
Ndo sikujua Mkuu.mazoea yana tabuPole mkuu ungesema mapema nikualike
Hahaha pole sana Mkuu kumbe imetukuta wengiMe yamenikuta pia nimesubiry mpaka basi,nkaamua niwashe radio wajue nipo haijasaidia,now nasonga dona na kauzu Nile nilale
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mimi na majirani zangu haukufa huo utaratibu .nimesubiri sana kupokea hotpot Leo.kitu holaaAisee nimecheka balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakumbuka utaratibu huo uliwapo zamani sana,lakini ulishakufaga
Dah Mkuu.anatuumiza mnoDaah nmejikuta nacheka peke yangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Aendelee tu kukaza hadi bia zifike buku ndo aache
Hahha umeua mkuu .hahahaMi kuna mtu kanikera aseee,
Asubuhi na mapemmaa kama saa nne hivi nilianza kuzisikia dalili za kuwepo kitu, mpka saa tisa hamna sijashtuliwa wala wapi
Ikabidi niwapigie kengele kwa staili glani hivi kama saa tisa na nusu nikapiga taaalabu wapi,
Imefika saa kumi, nikapiga kaswida basi hata wajuwe kuwa leo niko upande wao wapiii
Daaaa kijioni hivi, sioni mtu nikajua tayari hali ishakuwa ngumu huku.
Tatizo ni mazoea wamenishindisha njaa
Saa mbimbili hivi za jioni nilikuwa na hasira nikaweka nyimbo za Rose Muhando mwanzo mwisho, nikachenji radha nikatupia bahati bukuku
Imefika saa tatu sijauona umuhimu wao
NIMEENDA KWENYE KITIMOTO NIMECHUKUA KILO HAPA NAKAANGA NA KA HAALUFU KAKE SI UNAJUAGA BHANA,
Nasikia tu huko milango inagongana na wengine wameamua kuwasha udi, mi nautafuta uvumba hapa
Yan nimevunjika moyo sanaHahaha pole sana Mkuu kumbe imetukuta wengi
Pole sana mkuu
Tinted tena bora ingekua vya kawaida haha