Isalia
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,209
- 435
Nimekaa na mchumba wangu tukipiga stori za hapa na pale katika mazungumzo alikusudia kutaja jina langu lakini akataja jina la mwanaume mwengine mwenyewe akajishitukia na kuniomba radhi kwa mtazamo wangu hana mapenzi na mimi iweje anite jina la mwengine kiukweli na wacwac nae na kutaka kughaira haruc yetu je itakua nimemtendea haki