Hahaha!uatakiwa kwanza kujua huyo alietajwa ni nani...
je kama ni marehemu?
unatishwa hata na marehemu?
ukiona manyoya....
Yaani wewe ni wa kuzugia tu mwenye chake ni yule aliyetajwa!
Tafakari..... chukua hatua.............ngeeeeeeeeee
uatakiwa kwanza kujua huyo alietajwa ni nani...
je kama ni marehemu?
unatishwa hata na marehemu?
ukiona manyoya....