Wanawake kwa kweli kuwaelewa unaweza kumaliza kitabu kizima na usiwaelewe. Mfano mwanaume unapokuwa mlemavu halafu huna hela hapo ulemavu wako unaonekana ila ukiwa na hela halafu mlemavu, watakuganda kama ruba.
Pesa ni kila kitu kwa mwanamke, mimba na ukimwi ni matokeo tu kwao