Elections 2010 Kweli huu ni Mwaka wa Mabadiliko: Jionee mwenyewe...!! Dr. Slaa..the President Elect

Elections 2010 Kweli huu ni Mwaka wa Mabadiliko: Jionee mwenyewe...!! Dr. Slaa..the President Elect

Brooklyn

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
1,459
Reaction score
286
chadema+flag.jpg


Watanzania tuliofikisha umri wa kupiga kura na ambao tumejiandikisha kupiga kura, tafadhali tusiwaangushe hawa watoto ambao ni taifa la kesho kwa kumchagua Jakaya Kikwete na CCM ambao wamethibitisha kwa maneno yao wenyewe kwamba HAWAJUI KWA NINI TANZANIA NI MASKINI...KWA HIVYO HAWANA MAJIBU WALA MBINU MUAFAKA ZA KUWALETEA MAENDELEO WATANZANIA!!
 
chadema+flag.jpg


watanzania tuliofikisha umri wa kupiga kura na ambao tumejiandikisha kupiga kura, tafadhali tusiwaangushe hawa watoto ambao ni taifa la kesho kwa kumchagua jakaya kikwete na ccm ambao wamethibitisha kwa maneno yao wenyewe kwamba hawajui kwa nini tanzania ni maskini...kwa hivyo hawana majibu wala mbinu muafaka za kuwaletea maendeleo watanzania!!

wanajua nini hawa?
 
Hayawi yawi huwa...................................Welcome the fifth, new president of the United Republic of Tanzania......His Excellency Wilbard Peter Slaa...........to the inauguration of your OWN PRESIDENCY ............here at the National Stadium of Dar-Es-Salaam ..............
 
wanajua nini hawa?
Wanaweza kuwa hawajui ila kama binadamu wana hisia. Wakishinda na njaa wanajua something wrong somewhere, akiugua na kupelekwa zahanati na dawa zikikosekana atatambua something wrong kutokana na sura ya mama yake kukosa matumaini.
Akimona baba/mama ameshika hiyo bendera na sura yake inaonyesha matumaini, naye pia anajua kuwa matumaini yako katika bendera hii. Hata kama matumaini yenyewe hayaelewi ni yapi,akiumwa au akiwa na njaa. PENGINE WEWE NDIYE HUJUI
 
chadema+flag.jpg


Watanzania tuliofikisha umri wa kupiga kura na ambao tumejiandikisha kupiga kura, tafadhali tusiwaangushe hawa watoto ambao ni taifa la kesho kwa kumchagua Jakaya Kikwete na CCM ambao wamethibitisha kwa maneno yao wenyewe kwamba HAWAJUI KWA NINI TANZANIA NI MASKINI...KWA HIVYO HAWANA MAJIBU WALA MBINU MUAFAKA ZA KUWALETEA MAENDELEO WATANZANIA!!

holy crap... how can one be proud of using inoocent minds without their knwoledge? kuna tofauti gani sasa ya hii picha na zile za ccm kuwakusanya watoto kwenye kampeni??

GUYS, LETS GET BACK TO OUR SENSES... KUCHAMBA KWINGI.....
 
Safi sana,waanze kujifunza namna ya kukomboa nchi yao kutoka kwenye dimbwi la ufisadi, kama sisi baba na mama zao tutashindwa!!
 
Hawa mbona wanaonekana wanatoka kwenye familia bora afya hiha! Ushindi wakishindo huo! Kama wapiga kura ni hawa!
 
You are very right, lakini picha uliyotumia haina nguvu ya kutosha ku support hoja yako, pengine watoto hao hawajui hata kama hiyo ni bendera, achilia mbali kuwa ni ya Chadema (mkombozi) so next time dont use that picture, CHANGE IS COMING TO TANZANIA
 
Tuanze kuwaingizia mawazo ya Ukombozi


Utu ni taasisi pana! Taasisi ambayo ndio uti wa mgongo wa maendeleo ya mtu na jamii yake.

Alikuwa JK Nyerere peke yake na sasa, Dr W Slaa ... aliyekuwa anadhubutu Kuusemea Utu na kuuweka kama kigezo cha ustawi wa Taifa!

Bila Utu, ambao ndiyo asili ya Mtu, maendeleo yote hayana maana yoyote! Yanakuwa ni maendeleo ya vitu! Ni utu kwanza...uwe chimbuko la demokrasia na maendeleo ya Taifa.

Utu ni Uungu ndani mtu, hatuwezi kuusaliti tukabaki salama kama watu... lazima utu kutangulia kila nyanja ya jamii bila hivyo hicho kinachoitwa ustawi, maendeleo na demokrasia vinakuwa havina maana.

Maendeleo ya Utu ndio yatawale maendeleo na ustawi wa jamii na taifa, na si maendeleo ya vitu bila kuujali, kuujenga na kuuendeleza utu.

Kitaalam: Utu unanyaushwa, kuharibiwa na kuangamizwa na UFISADI.

Kiua Utu ni Ufisadi. Kauli mbiu ni Utu Kwanza na Si ufisadi Kwanza.

Utu unarutubishwa na haki, upendo, maadili ya uongozi bora, kuheshimiana, haki na usawa wa pato la taifa, matumaini, ukweli, ujasiri na si ukatili, uimara wa kusimamia na kutetea sauti ya umma, utambuzi wa dhana nzima ya utu na kuwaongoza watu kuelekea kilele cha utu wao kama ukombozi wa mwandamu.

Ni Kweli na hakika: CCM na Kikwete wameutupilia mabali Utu ulioasili ya Mtu na kukumbatia kwa kiwango cha kutisha cha Ufisadi. Nani mwenye utu kamili anabishia hili?

Baada ya CCM na Kikwete kusaliti asili ya mtu, kinachofuatia nchini ni Mgawanyiko na Matabaka kwa Taifa. Mgawanyiko na mtabaka hayo vinazaa Udini, ukabila, kuimarisha, ujinga, dhuluma, maradhi nk. Kisa? Utu umewekwa kando, tumeutwika Ufisadi na sasa tumeisaliti asili yetu kama binaadamu. Na kama utu haupo ...ina maana tunatawaliwa na kinyume cha utu...ambacho ni unyama ndani ya Mtu, yaani ufisadi... Na usiombe kuishi ndani ya jamii au Taifa kama hilo! Nani haoni kiama kinachoweza kufuatia hapo?

CCM na Kikwete wana Utu na misingi yake ya kujibu hoja hii? Labda kwanza wawafilisi Mafisadi Papa Kumi (Kumi na Moja) waliowekwa hadharani tayari… Vinginevyo wakati wa kuichai nchi ni sasa!

Kwa kuwa CCM badala ya kupunguza maadui wa ustawi wa maendeleo ya jamii ya watanzania kutoka kuwa wa nne, sasa wanawajenga na kufikia sita. Yaani Ujinga, Maradhi, Umasikini, Ufisadi(Dhuluma), Ukabila na Udini.


Tunahoji: CCM na Kikwete wanacha kujitetea kwenye hili? Mna Utu na Ubinaadamu wa kuhitaji kuliongoza kwa hekima, utulivu na amani Taifa hili kwa kipindi kingine cha miaka mitano? ....Tuwasikie
 
This pics touches my spirit, heart, mind, senses, i felt suddenly sad & pain
mungu iangamize CCM period, destroy them, these are devils, zimwi likujualo halikuli likaisha, yaani CCM inatunyonya bila mwisho, tumia kura yako to kick them out
Dr Slaa is only serviour, tunaweza kuingoa CCM
 
hiyo picha inanikumbusha siku moja nilipowakuta watoto wa darasa la tatu shule ya msingi gangilonga iringa walipokuwa wakibishana eti nani mwenyekiti wa chadema kati ya freemani mbowe na dr slaa. Eti nao wanasikitika eti kwa nini hawapigi kura kumchagua silaa.
 
holy crap... how can one be proud of using inoocent minds without their knwoledge? kuna tofauti gani sasa ya hii picha na zile za ccm kuwakusanya watoto kwenye kampeni??

GUYS, LETS GET BACK TO OUR SENSES... KUCHAMBA KWINGI.....


:nono::nono:Mkuu tofauti ipo kubwa sana!! zile za CCM walilazimishwa hivyo haikuwa hiari yao, ila hawa wapo ktk mazingira ya utulivu na wametulia nyumbani bila kulazimishwa bila mishikemishike!
 
hata cuba watoto wadogo wanafunzwa kuwa wazalendo kwa kufundishaw salamu inayosema:comos ramo chev yaani i wish to be like cheguavara mwana harakakti,waache hao watoto wakumbatie hiyo bendera ili kuwajengea fikra za kiuwanaharakati wakapambane na wakina khalfan kikwete
 
Back
Top Bottom