Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Jomo Kenyatta alikuwa hivi. Kuna story za mtaani eti alikuwa na waita mawaziri anawatandika kama watotoπππUnamshobokea sana huyu jamaa
Babangu hua ananipigia hizo story, Alikua kila aendako Jomo, bakora lake haliko mbali, ukimkasirisha unashtukia ulishachapwa bakora kaa tatu ivi...... Lakini hio ya jomo Kenyatta ilikua ako na short temper....Jomo Kenyatta alikuwa hivi. Kuna story za mtaani eti alikuwa na waita mawaziri anawatandika kama watotoπππ
That was true its 2019 thoughJomo Kenyatta alikuwa hivi. Kuna story za mtaani eti alikuwa na waita mawaziri anawatandika kama watoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Baba alikuana short temper mwanae ni mtu wa shots za tequilaBabangu hua ananipigia hizo story, Alikua kila aendako Jomo, bakora lake haliko mbali, ukimkasirisha unashtukia ulishachapwa bakora kaa tatu ivi...... Lakini hio ya jomo Kenyatta ilikua ako na short temper....
huyo si alichizi ,nilisoma historia yake zilimruka alipokaribia kufaJomo Kenyatta alikuwa hivi. Kuna story za mtaani eti alikuwa na waita mawaziri anawatandika kama watotoπππ
Hata huyo mwanae nae hua ana kasirika hadharani na anashindwa kuficha hisia zake , labda akiwa mzee afike kama 75 ataanza kucharaza watu viboko kama babakeBaba alikuana short temper mwanae ni mtu wa shots za tequila