Pombemagu -wapenda uchawi na wenye rohoo mbaya
fuli-chui wa kike mwenye tamaa
Pombe
Nani kalewa
Jiwe je?magu -wapenda uchawi na wenye rohoo mbaya
fuli-chui wa kike mwenye tamaa
Nimetafsiri tu kutoka kwa kiarabu kuja kiswahili yaaniHizo maana umezitoa wapi mkuu???
Arejeshe mchakato wa Katiba Mpya ya Wananchi, na pia aandae mazingira ya uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi. Akitimiza haya matakwa 2 ya Watanzania walio wengi, hata mimi Tate Mkuu, nitamuunga mkono.
Ushalambishwa asali weweWakuu leo nimejikuta natamani nami kutoa maoni yangu kwa jukwaa hili
Mie si mwandishi mzuri lakini nadhani moderator watanivumilia nifikishe hiki nilichokishuhudia.
Nikiri kuwa Mheshmiwa Rais Samia Suluhu Hasani ni mfano wa kuigwa wa demokrasia za kusini mwa jangwa la Sahara
Nimalize kwa kuwapa tafsiri ya jina hili la rais wetu
Samia = Msikivu
Suluhu = mwenye kuusuluhisha
Hassan = Mwema.
Kweli jina linasadifu tabia za muhuka