ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nimesikia leo wachambuzi E fm wakimhoji mchezaji wa zamani,point moja ilionigusa ni pale iliposemwa kua mchezaji 'Malota soma'ball jagural"pamoja na weledi wote alokua nao hakuwahi cheza National team na hii yote ilitokana na viwango vya wachezaji wengi wakati huo kua juu sana!kitu ambacho leo mchezaji anaweza ibuka from nowhere ukamsikia yumo taifa stars!ukiangalia rank za fifa za miaka ya 1984 kurudi nyuma hadi 70s tulikua pazuri mno,nina imani timu ya Umiseta combine ya Mashariki na ile ya Magharibi za mwaka 1986-88 ni bora zaidi ya timu za sasa za Yanga,Simba na Azam ki uwezo japo timu zile za shule hazikutumia walimu/coach wa kigeni'wazungu'hebu tutafakari hili na wengine tuzungumzie soka lile tamu...