Leo hii Simba na yanga Zina nguvu balaaNahisi kocha alikuwa Marcio Maximo Raia wa Brazil.
Jamaa aliukamata mpira wa Bongo hakukuwa na kelele za simba na yanga.
Kocha alikuwa na misimamo ya kutisha.
Kaseja aliisoma Namba.
Haruna Moshi alikiona.
Weka salary slip yake tui zoomNi kweli kwamba kocha wa timu ya taifa ya tanzania ya mpira wa miguu analipwa hela nyingi kuliko makocha wengine wote afrika?
Naomba mwenye info atumwagie hapa jf