Kweli kuwa Luis Miqquiesone kavunja mkataba?

Kweli kuwa Luis Miqquiesone kavunja mkataba?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.

Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.

Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
 
Mbona mnahangaika na Miquissone wakati hawahusu nyie UTO?

Kila siku mnamuwaza yeye. Mnafikiria Simba hii ni ya miaka ilee ya kuendeshwa kikanjanja?

Endelea kumsubiri basi aje kwenu! Na kuja kwenu sio tatizo,tatizo Yanga haina hela ya kumnunua Miquissone,kununua Mkataba wake sio jambo rahisi. Lakini mnavyohangaika utadhani Miquissone ni level za kina Ajib.
 
Mbona mnahangaika na Miquissone wakati hawahusu nyie UTO?

Kila siku mnamuwaza yeye. Mnafikiria Simba hii ni ya miaka ilee ya kuendeshwa kikanjanja?

Endelea kumsubiri basi aje kwenu! Na kuja kwenu sio tatizo,tatizo Yanga haina hela ya kumnunua Miquissone,kununua Mkataba wake sio jambo rahisi. Lakini mnavyohangaika utadhani Miquissone ni level za kina Ajib.

Litakufa jitu mara paap yanga day tunamtambulisha misquonne
 
Endelea kuota ilo tamasha lenu kwa izi propaganda ampati mtu
Yaani wanatengeneza Progapanga ili kwenye 'Kitchen Party' yao wapate wahudhuriaji wengi.

Kwamba wachezaji waliowasajili hawatoshi kuipa Promo timu yao?

Hii Klabu inaendeshwa kishamba sana,Hersi na GSM kwa ujumla wanajitahidi kuiendesha kisasa ila bado ina watu ndani ni makanjanja mno.
 
Mbona mnahangaika na Miquissone wakati hawahusu nyie UTO?

Kila siku mnamuwaza yeye. Mnafikiria Simba hii ni ya miaka ilee ya kuendeshwa kikanjanja?

Endelea kumsubiri basi aje kwenu! Na kuja kwenu sio tatizo,tatizo Yanga haina hela ya kumnunua Miquissone,kununua Mkataba wake sio jambo rahisi. Lakini mnavyohangaika utadhani Miquissone ni level za kina Ajib.
Mikia iendeshwe kikanjanja mara ngapi,subirini kitu kizito cha utosi nyie babra FC
 
Litakufa jitu mara paap yanga day tunamtambulisha misquonne
Yanga haina uwezo huo. Yanga haina uwezo wa kumnunua Mchezaji hata kwa milioni 500,itakuwa Miquissone mwenye Thamani ya kuanzia Dola laki 5?

Ukiwa unaongea usikubali mdomo uropokwe tu,hakikisha Ulimi umeunganishwa vizuri na Ubongo. Msikubali kushikiwa akili na kina Bumbuli
 
Yaani wanatengeneza Progapanga ili kwenye 'Kitchen Party' yao wapate wahudhuriaji wengi.

Kwamba wachezaji waliowasajili hawatoshi kuipa Promo timu yao?

Hii Klabu inaendeshwa kishamba sana,Hersi na GSM kwa ujumla wanajitahidi kuiendesha kisasa ila bado ina watu ndani ni makanjanja mno.
Kitu kizito kitadondoka kichwani muda sio mrefu.
 
Yaani wanatengeneza Progapanga ili kwenye 'Kitchen Party' yao wapate wahudhuriaji wengi.

Kwamba wachezaji waliowasajili hawatoshi kuipa Promo timu yao?

Hii Klabu inaendeshwa kishamba sana,Hersi na GSM kwa ujumla wanajitahidi kuiendesha kisasa ila bado ina watu ndani ni makanjanja mno.
Na timu inayoshawishi mchezaji mwenye mkataba na kumsainisha mkataba hiyo tuseme ndiyo kuendeshwa kisasa? Hongereni Sana.
 
Kuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.

Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.

Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
Unaandika kama umekalia kitu kigumu chenye ncha butu
 
Tufanye hivi Merquison ni mchezaji wenu Utopolo,haya tukutane kwenye pitch sasa muone kazi ya wataleban wa msimbazi.manake mnaotaga ndoto ambazo haziwezi kuwa kweli,Merquison atoke kwenye timu ya mataji akimbilie kwenye timu mbovu kama Yanga!
 
Back
Top Bottom