Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
mpaka hapa sijakamata kitu....nini hizo za kuogopa?
not realy
ndo maana yake...
tukiziogopa hakuna mtu atakaye pata raha dunia hii.hahahah
hiyo ni dhahabu bwana uwe maskini au tajiri
bado uta ipata ...lol
Duh! kweli hiki ndicho kizazi cha kikwete a.k.a kizazi cha dot kom,mambo njenjeeeeeee.Maendeleo naona tumeyapata.safi sana hakuna kuogopa kitu ,bandika bandua .
ndo maana yake...
tukiziogopa hakuna mtu atakaye pata raha dunia hii.hahahah
hiyo ni dhahabu bwana uwe maskini au tajiri
bado uta ipata ...lol
Kama kalamu zina wino na madaftari yapo sharti zitumike kuandika @ afrodenzi
Siyo kila daftari utaruhusiwa kuandikia na kalamu yako!!!!
.......mengine yana vumbi utashikwa na mafua ,mengine yana rangi ka ya kalamu yako maandishi hayataonekana,,,,,,,,,,!!
Ikulu mzee karibu