Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Najaribu niwe siriazi sana ili nimiliki kiwanda cha magari, lakini sifanikiwi 😀Ila equation x una mambo sana, unaendeshwa sana na mahaba mkuu.
Usiogope, kifo ni haki yako ya msingi; usipokufa kwa kisukari utakufa kwa ajali n.kUkimwi umekupenda ww unadai unanenepa
Wafitini naona mnakuja kwa vitisho 😀siku vikikuchachia na hao unawaita walimbwende lazima tukuague njia panda kwa nazi saba
Ndio manini hayo 😀ARV zinafanya kazi yake
Ongeza zifike 150Hongera kwa Lucas Mwashambwa nina kg zangu 79 Mungu anipe nini mie🤸
Subiri azidishe mapenziOngeza zifike 150