Kweli mganga hajigangi

Dr.Chichi

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2008
Posts
2,393
Reaction score
632
Wanajf toka juzi naumwa malaria na pneumonia,ishu inakuja kwenye kutumia dawa.mimi huwa ni mkali sana sana kwa wagonjwa wangu kuhusu suala la dawa hata wakiniambia zinawashinda.sasa na miye nimeandikiwa madawa hayo hayo na kusema ukweli yanaudhi ile mbaya alafu ishu inakuja kwenye kuchoma sindano yaani ni ugomvi mtupu kidogo nilie jana..wagonjwa nisameheni kwa kuwatesa,wanajf niombeeni nipone haraka,i cant take these medicines anymore
 
get well soon... inasemekana watu wanaoongoza kwa poor adherence kwenye medication ni medical personel
 
get well soon... inasemekana watu wanaoongoza kwa poor adherence kwenye medication ni medical personel

Kiuzoefu ni kweli aisee...Samora unaweza angalia hili kisayansi/formal research ukapublish!
 
Shukran jamani....ila its true medical personnel wengi kwenye matibabu ni mgogoro
 
halafu madokta kwa kudeka sasa! unaweza kuta hata kunywa panadol anaitapika, afu kula ni issue utadhani hajui madhara ya kutumia dawa na kutokula! pole mwaya.
 
Pole sana Comrade kumbuka kusali basi na kunywa maji mengi
 

pole sana Doc... mimi toka nianze Med school miaka 6 iliyopita sijawahi kuumwa but nilikuja kukamatwa na Chronic Otitis Media ! nilipoanza my junior internship sikio la kushoto.... baada ya mwaka naanza residency likaja sikio la kulia.. nikajitibu mwenyewe bana coz dawa alizoniandikia Doc nilikuwa nazikumbuka...

Get well soon!
P.S i prefer dawa zaidi kuliko sindano .. i hate needles ...
 
Pole sana.Mungu atakusaidia utapona
 
Asanteni sana jamani,nimepona sasa.....aisee njiwa kumbe tuko wengi tunaochukia sindano
 
pole mkuu kweli kuumwa siyo mchezo get well soon mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…