Acheni majungu na roho mbaya, wewe unajua akaunti ya Simba ina kiasi gani? Unajua mishahara wachezaji wanalipwaje? Unajua hela za usajiri zinalipwa kutoka wapi? Kwanini watz kila kitu tunakiwekea dhana mbaya. Mbona huulizi wala hutaki upewe ushahidi wa jinsi pesa zako ulizochanga zinavyotumika?Nyie ndio mashabiki oya oya mnameza kila mnachoambiwa na mwekezaji feki
Kumbe afadhali umeshajulikana kua we ni wa chura.Mashabiki oya oya wasikusumbue akili zao zimefungwa na mwekezaji feki
We Kama kweli ni mwana michezo. Tokea Mo awe karibu na Simba sc. Haujayaona mafanikio yake. We ulitaka tufanane na Yanga Sc au Ndanda? Sasa tuambie wewe nan anafaaa kuchukua Simba na ndani ya miaka 2 tuwe na mafanikio kama ya kucheza Champions League na kufikia hatua ya Robo fainali. TUWE WAVUMILIVUAmeeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Hahahaa....... Simba ni mali ya MO na mkewe!Ameeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Huyu kaandikiwa tu aje kuleta zengwe JF.. Sidhani kama hata interest ya mpira anayo..Juzi simba mlikuwa mnalia ukata wa kutisha sasa hivi club ina perform vizuri mnachonga, mwafrica hata umpe figo yako atalalamika kwanini hujampa figo zote
Umesema kweli, Clouds fm kila jambo wanalolifanya Simba wao baya, wataliletea uzushi na majungu. Kama vile wanatumiwa au wanachuki binafsi na Simba. Hatutaki wasiikosoe Simba ila wawe fair and constructive.Wewe poyoyo ungekua kwenye kamati yoyote ungekua na lakuongea sasa vyanzo kutoka clouds fm wale jamaa hawana hata mapenzi na simba na wewe ukalibeba ukaja nalo hapa
Mkuu unapoteza nguvu zako bure kubishana na watu wanaolelewa na mashemeji zao hata bajet ya chakula hajui asubuhi utamsikia shemej dawa ya mswaki imeisha mamaeh.Wewe ndo huna ufahamu na mleta mada mwenzio, hivi mil 250 inaweza kutosha kujenga uwanja wa kisasa wa kufanyia mazoezi.
Pili kabla ujapiga domo nenda saizi bunju uone kinachoendelea
Mkuu uyo kwao tandale saa kumi na mbili asubuhi yupo kijiweni hawezi kuwa na akili hata ya kuvukia barabaraMtaje huyo mjumbe ka kweli una uhakika,
Mwanaume usiwe mbeya na muongo hadi shetani anakushangaa.
Kwenye thread yako umesema nyie waelewa mnajua kila kitu saizi unasema kuna mjumbe wa bodi analalamika.