Wewe muuliza swala lenyewe linajionesha kuwa hawako sawa.Tangu zama za Enzi ya bustani ya Eden na uasi wa mwanadamu mwanaume hajawahi kuwa sawa na mwanamke. Mungu alitoa majukumu ya mwanaume kwa kula kwa jasho lake na mwanamke kuzaa kwa uchungu.Ndugu yangu hapo usawa uko wapi?
Ukija kiasisa umewahi kusikia wanaume wakipendelewa kwenye elimu,viti maalum,umoja wa akina baba, wanaume wakiwezeshwa wanaweza, mikutano ya dunia ya wanaume watupu.Mpaka hapo huo usawa unautoa wapi.