Kweli nahisi nililogwa nahisi alinikaanga kama haya mambo yapo kweli

Kwani mbona mnasema alikuwa anamuektia jamani, kwani ma baa maids mnadhani hawana mioyo? Pamoja na kupuyanga kwao kuna mahali kama binadamu nao huwa wanapenda na wanaumia mioyo. Hata hivyo sio ma baa maids wote vicheche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…