Alikua anakuektia kulia tu hakua anaumia alijua kabsa una mpunga ko alikua anaona akikuacha na pesa hajakuchuna vzr utakua unyonge hukujua tuππππ
Kwani mbona mnasema alikuwa anamuektia jamani, kwani ma baa maids mnadhani hawana mioyo? Pamoja na kupuyanga kwao kuna mahali kama binadamu nao huwa wanapenda na wanaumia mioyo. Hata hivyo sio ma baa maids wote vicheche