kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
HABARINI WOTE.
Hapa ndipo akili pamoja na ufahamu wangu unaniambia kua TANZANIA YETU watu wengi(na maanisha wanasiasa, asasi za kiserikali na asasi binafsi na wakiwemo hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu pamoja na viongozi wa dini)kwa kitendo hiki cha wanafunzi kukosa mikopo kwa ajili ya elimu ya juu lakini watu wapo kimya napata picha kua hata wanasiasa hupenda kujifanya wanatetea haki pale panapokua na maslahi kwa upande wao.namaanisha kua jambo hili ungekuta lina maslahi kwa wanasiasa au taasisi fulani fulani ungeshaanza kusikia matamko mbalimbali hapa ndipo ninapoamini msemo usemao
MCHUMA MAJANGA HULA NA WAKWAO.
NAWASILISHA.
Hapa ndipo akili pamoja na ufahamu wangu unaniambia kua TANZANIA YETU watu wengi(na maanisha wanasiasa, asasi za kiserikali na asasi binafsi na wakiwemo hao wanaojiita watetezi wa haki za binadamu pamoja na viongozi wa dini)kwa kitendo hiki cha wanafunzi kukosa mikopo kwa ajili ya elimu ya juu lakini watu wapo kimya napata picha kua hata wanasiasa hupenda kujifanya wanatetea haki pale panapokua na maslahi kwa upande wao.namaanisha kua jambo hili ungekuta lina maslahi kwa wanasiasa au taasisi fulani fulani ungeshaanza kusikia matamko mbalimbali hapa ndipo ninapoamini msemo usemao
MCHUMA MAJANGA HULA NA WAKWAO.
NAWASILISHA.