CCM inajidhirisha kwamba ni Chama cha Wakulima na Wafanyakazi na hiyo ni baada ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo kuagiza Serikali kununua mahindi yote zaidi tani 100,000 katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini baada ya bilioni 14 zilizotolewa awali kununua tani 24,000 za mahindi kuisha.
Kama hiyo haitoshi, CCM imeiagiza Serikali kukaa na haraka kupunguza bei ya mbolea huku ikisisitiza bei ya mahindi iwe ile ile kila mahali kwa walio mbali na karibu.
Mwisho Katibu Mkuu Chongolo anamaliza kwa kusema ndani ya wiki mbili, CCM itaanza kufuatilia utekelezaji wa maagizo hayo.
Ama kweli nimeamini CCM ni Chama cha Wakulima na Wafanyakazi. Hakuna kero ya Mkulima na Mfanyakazi wa nchi hii itakayoachwa.
Duh! Hii nafasi Ya Katibu Mkuu Inapitia kipindi cha Mpito ambapo ni Kama imejificha kwenye Vyama karibia vyote Hawasikiki Kabisa. Yaani Yule Wa CCM kumbe anaitwa CHONGOLO! sijui wa CDM anaitwa nani?
Makatibu Viiipi ? Tulishazoea hizo ni nafasi za amsha amsha!
Duh....! Hii nafasi Ya Katibu Mkuu Inapitia kipindi cha Mpito ambapo ni Kama imejificha kwenye Vyama karibia vyote Hawasikiki Kabisa. Yaani Yule Wa CCM kumbe anaitwa CHONGOLO..! sijui wa CDM anaitwa nani?
Makatibu Viiipi ? Tulishazoea hizo ni nafasi za amsha amsha..!