antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
Yaani dah kipindi Cha nyuma ilikuwa ukiweka tangazo la kuuza kitu hapa JF hata nusu saa haipiti kitu kinachukuliwa
Lakini saivi hali imekuwa tofauti [emoji23][emoji23]
Mimi niliweka tangazo la kuuza desktop hapa thread kama mbili lakini mpaka saivi naongea Kuna thread Ina makumi ya viewers ila hakuna hata aliyeulizia bei [emoji23] jamani mnataka nani anunue Sasa
Nina changamoto wakuu mwenye pesa ya chap anisaidie kabla ya kesho jua kuzama
Desktop Iko hali nzuri ,na speed kubwa sana bei ya mwisho 360k
Lakini saivi hali imekuwa tofauti [emoji23][emoji23]
Mimi niliweka tangazo la kuuza desktop hapa thread kama mbili lakini mpaka saivi naongea Kuna thread Ina makumi ya viewers ila hakuna hata aliyeulizia bei [emoji23] jamani mnataka nani anunue Sasa
Nina changamoto wakuu mwenye pesa ya chap anisaidie kabla ya kesho jua kuzama
Desktop Iko hali nzuri ,na speed kubwa sana bei ya mwisho 360k