Kweli pesa inatakatisha,huu ndio muonekano wa sasa wa STIVE(shabiki wa yanga)

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
10,518
Reaction score
13,144
Huyu kijana alijizolea umaarufu miaka ya nyuma kutokana na tabia yake ya kulia lia sana pale timu yake ya Yanga ilipokuwa ikipokea kichapo alikuwa anashindwa kabisa kujizuia vile vile alihangaika kushiriki kwenye mashindano ya bongo star search lakini hakupata nafasi.
Hii picha kipindi analia baada ya yanga kupokea kichapo hapa kipindi anatafuta nafasi bongo star search
Huu sasa ndio muonekano wa sasa baada ya kula kitengo pale AZAM na yanga kawahama kabisa
NB:jamaa mwanzoni alionekana kama kituko sasa hivi kala kitengo hata harmorapa akiendeleza janja janja za kiki atatusua tu siku moja.

-Ndumilakuwili-
 
Mkuu nimejaribu kuongeza mwamnga mpaka mwisho kwenye simu yangu lakini picha za mwanzo sijaziona fresh..

Kumbe one day nami nitakua HB
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

-Ndumilakuwili-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…