Kweli pesa inatakatisha,huu ndio muonekano wa sasa wa STIVE(shabiki wa yanga)

Imebidi ni pakue picha kisha nifanye survey ya photography interpretation na baadhi ya watu ila majibu yake mmmmmh bila bila!!

Kila mtu, anasema kuwa hao ni mutu mbili tofauti kabisa.

Kwa hiyo, hata CIA wakimtafuta kwa hizo picha wakati akiwa analialia Yanga na leo Azam sidhani kama watashawishika kumkamata.

Shikamooooo, Hela/ pesa/dooo/chapaaa.
 
Kiboko ya mabishoooooo nae kawa mzungu.....
 
Achana na pesa bwana wewe
Halafu pia kumbe kulia lia inasaidia kwenye maisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana na pesa bwana wewe
Halafu pia kumbe kulia lia inasaidia kwenye maisha [emoji23][emoji23][emoji23]
mijemba hata msiba uwe wa kuatua moyo kiasi gani huoni chozi wanakausha tu..hawajui ni fursa wanafungia nje.[emoji3] [emoji3]
 
mijemba hata msiba uwe wa kuatua moyo kiasi gani huoni chozi wanakausha tu..hawajui ni fursa wanafungia nje.[emoji3] [emoji3]
Hahaha aise haya maisha bwana unaweza ukakaa.mahal ukacheka tu
saiv ukienda kumwambia aise ulikua unalia uwanjani atakukatalia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…