Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Hili ndilo biti walopigwa wabunge na Spika Ndugai. Akawatahadharisha kuwa watapoteza nafasi zao za uwakilishi kama wangekataa bajeti inayoruhusu uwepo wa tozo za kihuni.
Je, hekima gani ilitumika katika uwekaji wa sheria hiyo?
Je, hekima gani ilitumika katika uwekaji wa sheria hiyo?