Kweli Simba inapigwa vita nimeamini

Kweli Simba inapigwa vita nimeamini

kilambon

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
220
Reaction score
148
Shomari kapombe hawezi kujiangusha kitoto vile!! mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma ila anadai eti hakumsukuma kwa nguvu! DUH!

Waandishi, wachambuzi hata wadau wa mpira wengine ni wapenzi wa SIMBA wamekuwa against mwamuzi na simba!! Kisa wanataka ku- balance ile penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo.

Nadhani mada hapa ingekuwa ni kuwahoji Azam TV ambao wanashindwa kuleta picha zinazo onyesha angle nzuri ambazo zingeweza Kuzuia MABEZO na MAKEJELI haya yote toka kwa watu ambao hawaitakii mema SIMBA.
 
Kwenye replay ya Azam jana na clip zao zinaonesha kama jamaa alifunga bila kumsukuma Kapombe,sema swali lina baki kuwa kama ni kweli Kapombe hakusukumwa ile namna alivyoanguka ndio bado inafikirisha. Sema kikubwa Simba kashinda jana hakuna maelezo zaidi ya kusema kabeba point tatu jana
 
Iwe kweli ama uongo,

Jana simba imecheza kama team ya mchangani, coach alimuongeza mzamiru na nyoni team ipate balance katikati ndo kwanza waliendelea kupwaya.

Onyango jana aliku hovyoo saana. Kama Simba wanataka kurudi kwenye kiwango ni wakati sasa wa kuwaacha Erasto Nyoni, Bocco, Mzamiru,Onyango, Wawa,Gadiel,Ajibu.

Kapombe asiwe wa kutegemea atafutiwe mbadala mwenye uwezo mkubwa.

Apatikane na striker mzuri nje ya hapo tutajifariji ila hao wachezaji viwango vyao vimegota.
 
Kwenye replay ya Azam jana na clip zao zinaonesha kama jamaa alifunga bila kumsukuma Kapombe,sema swali lina baki kuwa kama ni kweli Kapombe hakusukumwa ile namna alivyoanguka ndio bado inafikirisha.Sema kikubwa Simba kashinda jana hakuna maelezo zaidi ya kusema kabeba point tatu jana
mchezaji alihojiwa kasema alimsukuma lkn si kwa nguvu.

Stori umeisha! Next match Red Arrows
 
Shomari kapombe hawezi kujiangusha kitoto vile!! mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma ila anadai eti hakumsukuma kwa nguvu! DUH!

Waandishi, wachambuzi hata wadau wa mpira wengine ni wapenzi wa SIMBA wamekuwa against mwamuzi na simba!! Kisa wanataka ku- balance ile penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo.

Nadhani mada hapa ingekuwa ni kuwahoji Azam TV ambao wanashindwa kuleta picha zinazo onyesha angle nzuri ambazo zingeweza Kuzuia MABEZO na MAKEJELI haya yote toka kwa watu ambao hawaitakii mema SIMBA.
Upo sahihi kabisa mkuu! Mwamuzi alikuwa makini kabisa shida ni Camera ya Tv haikuolionyesha lile tukio vizuri lakini kuna clip hata hapa jukwaani imeshatupiwa inaonyesha vizuri kabisa mfungaji alitenda madhambi kabla ya kufunga lile bao na kuna watu wameshaiona lakini wanatoa povu mpaka vijichembe vya kande vinaruka toka vinywani mwao!
 
Shomari kapombe hawezi kujiangusha kitoto vile!! mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma ila anadai eti hakumsukuma kwa nguvu! DUH!

Waandishi, wachambuzi hata wadau wa mpira wengine ni wapenzi wa SIMBA wamekuwa against mwamuzi na simba!! Kisa wanataka ku- balance ile penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo.

Nadhani mada hapa ingekuwa ni kuwahoji Azam TV ambao wanashindwa kuleta picha zinazo onyesha angle nzuri ambazo zingeweza Kuzuia MABEZO na MAKEJELI haya yote toka kwa watu ambao hawaitakii mema SIMBA.
mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma!
 
Upo sahihi kabisa mkuu! Mwamuzi alikuwa makini kabisa shida ni Camera ya Tv haikuolionyesha lile tukio vizuri lakini kuna clip hata hapa jukwaani imeshatupiwa inaonyesha vizuri kabisa mfungaji alitenda madhambi kabla ya kufunga lile bao na kuna watu wameshaiona lakini wanatoa povu mpaka vijichembe vya kande vinaruka toka vinywani mwao!
Hakuna clip humu inayoonesha mgusano bali watu wameweka tu picha. Ni ngumu kupata clip inayoonesha mgusano kwasababu Azam Tv ndio warushaji wa mechi na replay zao zote zimechukua angle hizo hizo tulizoona na kufanyiwa replay hivyo hivyo. Hakuna video yoyote mitandaoni inayoonesha mgusano wa hao wachezaji wawili
 
Hakuna clip humu inayoonesha mgusano bali watu wameweka tu picha. Ni ngumu kupata clip inayoonesha mgusano kwasababu Azam Tv ndio warushaji wa mechi na replay zao zote zimechukua angle hizo hizo tulizoona na kufanyiwa replay hivyo hivyo. Hakuna video yoyote mitandaoni inayoonesha mgusano wa hao wachezaji wawili
Utopolo mko wabishi sana hata mchezaji mwenyewe kakiri kusukuma Kapombe wewe bado unamwaga povu!
 
Upo sahihi kabisa mkuu! Mwamuzi alikuwa makini kabisa shida ni Camera ya Tv haikuolionyesha lile tukio vizuri lakini kuna clip hata hapa jukwaani imeshatupiwa inaonyesha vizuri kabisa mfungaji alitenda madhambi kabla ya kufunga lile bao na kuna watu wameshaiona lakini wanatoa povu mpaka vijichembe vya kande vinaruka toka vinywani mwao!
Matusi
 
achana na video , fuatilia mahojiano na yule mchezaji wa geita. Alikiri alimsukuma lkn siyo kwa nguvu sana. Alimsukuma kidogo.

Hayo ndiyo majibu , mengine yote porojo tu. kapombe alisukumwa.
Kwenye mpira mtu akiruka header alaf wew ukamsukuma hata kidogo lazma asogee mbele aanguke
Kwaiy kama jamaa alikiri kuwa alimsukuma japo kidogo basi ameshamaliza,point ni kuwa alimsukuma referee kaona bas kaweka faul
 
Back
Top Bottom