Wewe acha kujichanganya.Simba msimu huu inawachezaj weng wabovu.Hata usajil mpya.Ni mchezaj gan mpya angeanza kwa perfomance ya wachezaj wa simba wa msimu uliopita?
Ukubali ukatae thimba mbovu.
acha uongo usajili ni mchakato.Na ndio maana kuna maskauti wa kuwafuatilia wachezaj.Na ndio maana ulaya hakuna majaribio ya mchezaj zaid ya kumpima afya tu.Jitulize usajili ni kamari,hata wakina chama walivyokuja mliponda
Khaaa! inonga huyuhuyu?? Kma nchi ingekua iko serious tungekua tushakufungulia kesiInonga Baka sio beki kabisa, anakabia macho tu.
Nilipomwona tu kaanza nikajua itakuwa shida.
Kakimbizwa kidogo tu msuli ukamshika.Khaaa! inonga huyuhuyu?? Kma nchi ingekua iko serious tungekua tushakufungulia kesi
Huko ulaya hujawaona wachezaji wakiflop pamoja na kwamba wanafanyiwa scouting? Usajili ni kamari na ndio maana akina Torres au Shevchenko walikotoka walikuwa wa moto lakini walipoenda chelsea hamna kitu.acha uongo usajili ni mchakato.Na ndio maana kuna maskauti wa kuwafuatilia wachezaj.Na ndio maana ulaya hakuna majaribio ya mchezaj zaid ya kumpima afya tu.