Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Bila kumsahau Mzee wa Kongwa Kazi Ndugai km yake pia inawaka waka......Kwa kuangalia baraza la mawaziri ni vigumu sana kutambua nani anaandaliwa ila JPM ni very unpredictable, unaweza kuta bado wanamuangalia Makamba kama amejifunza au lah, kibaya saivi ni hakuna anayeweza tumia nguvu ya pesa kutafuta ushawishi maana ataishia kupata money laundering charge, hadi sasa ni kama nyota ya Mwinyi tu ndio inang’aa bila kuwa na mpinzani.
"Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya Nchi yetu".January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo .
Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya Nchi yetu.
Viongozi Wakuu wa Nchi yetu kuanzia 2025 - 2035 watakuwa ni watu ambao wamezaliwa kati ya mwaka 1961 hadi 1985.
Sasa nini kimetokea au wamekosea wapi hawa vijana maana sioni katika " rada" yangu "nafasi zao " katika uongozi mkuu wa Nchi yetu katika nyakati zijazo nilizozitaja.
Muda huu ndo walipaswa kuwa na majukumu makubwa ya kuwawezesha kuijua Nchi yetu vizuri, misingi ya uchumi wetu, kujua vizuri ndoto na matarajio ya watanzania, kuijua dunia vizuri na jinsi inavyo- operate !
Mwigulu Nchemba yeye naona yuko kwenye sheria na katiba sehemu ambako nadhani hajifunzi chochote kwa siku zijazo kwa manufaa ya Taifa zaidi ya kupata " ugali" wake wa kila siku tu!
Yeye ni mchumi na sidhani kama anajua hata a,b,c za sheria.Hajui hata "mens rea na actus reus" na huu kwa mtazamo wangu ni mzigo sana kwa watu kama Prof.Ibrahimu Juma (CJ), Aderladius Kilangi (AG) na Biswalo Mganga (DPP) ambao wote ni wanasheria.
Ugumu wa ufanyaji kazi wa Mwigulu Nchemba katika sheria ni sawa tu na kuendesha kesi na mtu anayejua lugha moja tu, mfano lugha ya kisukuma au kijaluo basi!
Watanzania lazima tufike mahali tukubali kuwa huu upatikanaji wa viongozi wakuu wa Taifa letu kwa "kushitukizana" una faida zake na hasara zake na unaweza kutugharimu sana kwa miaka dahari.
Athari mojawapo kubwa ya kupata viongozi wakuu wa Nchi ambao mawazo yao,ideology beliefs zao hazikujulikana mapema ni kubwa sana kwani viongozi wa namna hiyo akipata madaraka ni kama vile Nchi imepata Uhuru siku alipoingia yeye madarakani,hakuna continuity katika progress ya Nchi.
Hivyobasi mimi kama mwananchi naona tunapaswa kuyaangalia na kuyajadili haya mambo kwa Uhuru, staha na ueledi kwa mstakabali mwema wa Nchi yetu.
Thanks for reminding us of generational succession lakini umeiweka kana kwamba it is inevitable. Succession ni rahisi uzeeni kwa sababu wako wachache - Waziri Mkuu wa India au wa Japan ni mifano halisi. Tanzania Vijana wako wengi - India ni wengi zaidi - kwa hiyo wako wengi tu hakuna haja ya kutanguliza majina. Kuna UVCCM wazuri tu, kina Bashe, au BAVICHA, kina Katambi.January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo .
Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya Nchi yetu.
Viongozi Wakuu wa Nchi yetu kuanzia 2025 - 2035 watakuwa ni watu ambao wamezaliwa kati ya mwaka 1961 hadi 1985.
Sasa nini kimetokea au wamekosea wapi hawa vijana maana sioni katika " rada" yangu "nafasi zao " katika uongozi mkuu wa Nchi yetu katika nyakati zijazo nilizozitaja.
Muda huu ndo walipaswa kuwa na majukumu makubwa ya kuwawezesha kuijua Nchi yetu vizuri, misingi ya uchumi wetu, kujua vizuri ndoto na matarajio ya watanzania, kuijua dunia vizuri na jinsi inavyo- operate !
Mwigulu Nchemba yeye naona yuko kwenye sheria na katiba sehemu ambako nadhani hajifunzi chochote kwa siku zijazo kwa manufaa ya Taifa zaidi ya kupata " ugali" wake wa kila siku tu!
Yeye ni mchumi na sidhani kama anajua hata a,b,c za sheria.Hajui hata "mens rea na actus reus" na huu kwa mtazamo wangu ni mzigo sana kwa watu kama Prof.Ibrahimu Juma (CJ), Aderladius Kilangi (AG) na Biswalo Mganga (DPP) ambao wote ni wanasheria.
Ugumu wa ufanyaji kazi wa Mwigulu Nchemba katika sheria ni sawa tu na kuendesha kesi na mtu anayejua lugha moja tu, mfano lugha ya kisukuma au kijaluo basi!
Watanzania lazima tufike mahali tukubali kuwa huu upatikanaji wa viongozi wakuu wa Taifa letu kwa "kushitukizana" una faida zake na hasara zake na unaweza kutugharimu sana kwa miaka dahari.
Athari mojawapo kubwa ya kupata viongozi wakuu wa Nchi ambao mawazo yao,ideology beliefs zao hazikujulikana mapema ni kubwa sana kwani viongozi wa namna hiyo akipata madaraka ni kama vile Nchi imepata Uhuru siku alipoingia yeye madarakani,hakuna continuity katika progress ya Nchi.
Hivyobasi mimi kama mwananchi naona tunapaswa kuyaangalia na kuyajadili haya mambo kwa Uhuru, staha na ueledi kwa mstakabali mwema wa Nchi yetu.
Naunga mkono hojaTaifa hili lina vijana wengi wenye utashi, weledi na dhamira ya kuitumikia nchi hii, si lazima wawe hao tu, hii si nchi ya kifalme.
Ukiondoa Mwigulu hao kina Nape na Makamba wana makandokando ambayo sio sehemu ya successiona plan ya CCM.January Makamba, Mwigulu Nchemba,Nape Nnauye, Ridhiwani Kikwete na Hamis Kigwangala ukitazama vizuri ni baadhi ya vijana wa CCM ambao ama walikuwa "wanaandaliwa" au "kujiandaa" kutoa uongozi mkubwa kwa Taifa letu katika siku zijazo .
Nasema hivi nikizingatia " generational succession plan" ya Nchi yetu.
Viongozi Wakuu wa Nchi yetu kuanzia 2025 - 2035 watakuwa ni watu ambao wamezaliwa kati ya mwaka 1961 hadi 1985.
Sasa nini kimetokea au wamekosea wapi hawa vijana maana sioni katika " rada" yangu "nafasi zao " katika uongozi mkuu wa Nchi yetu katika nyakati zijazo nilizozitaja.
Muda huu ndo walipaswa kuwa na majukumu makubwa ya kuwawezesha kuijua Nchi yetu vizuri, misingi ya uchumi wetu, kujua vizuri ndoto na matarajio ya watanzania, kuijua dunia vizuri na jinsi inavyo- operate !
Mwigulu Nchemba yeye naona yuko kwenye sheria na katiba sehemu ambako nadhani hajifunzi chochote kwa siku zijazo kwa manufaa ya Taifa zaidi ya kupata " ugali" wake wa kila siku tu!
Yeye ni mchumi na sidhani kama anajua hata a,b,c za sheria.Hajui hata "mens rea na actus reus" na huu kwa mtazamo wangu ni mzigo sana kwa watu kama Prof.Ibrahimu Juma (CJ), Aderladius Kilangi (AG) na Biswalo Mganga (DPP) ambao wote ni wanasheria.
Ugumu wa ufanyaji kazi wa Mwigulu Nchemba katika sheria ni sawa tu na kuendesha kesi na mtu anayejua lugha moja tu, mfano lugha ya kisukuma au kijaluo basi!
Watanzania lazima tufike mahali tukubali kuwa huu upatikanaji wa viongozi wakuu wa Taifa letu kwa "kushitukizana" una faida zake na hasara zake na unaweza kutugharimu sana kwa miaka dahari.
Athari mojawapo kubwa ya kupata viongozi wakuu wa Nchi ambao mawazo yao,ideology beliefs zao hazikujulikana mapema ni kubwa sana kwani viongozi wa namna hiyo akipata madaraka ni kama vile Nchi imepata Uhuru siku alipoingia yeye madarakani,hakuna continuity katika progress ya Nchi.
Hivyobasi mimi kama mwananchi naona tunapaswa kuyaangalia na kuyajadili haya mambo kwa Uhuru, staha na ueledi kwa mstakabali mwema wa Nchi yetu.