Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

Robertnho alipendekeza aachwe but viongozi kina try again wakashupaza shingo sasa mwamba Robertinho anawaonyesha kwamba yeye ndiye anayejua wachezaji aliowataka na sio machaguo ya wakina try again!
 
Robertnho alipendekeza aachwe but viongozi kina try again wakashupaza shingo sasa mwamba Robertinho anawaonyesha kwamba yeye ndiye anayejua wachezaji aliowataka na sio machaguo ya wakina try again!
Sidhani kama hili unalosema ni kweli. Nadhani kuna shinikizo kutoka juu kuwachezesha hawa kina Bocco na Saido
 
Sidhani kama hili unalosema ni kweli. Nadhani kuna shinikizo kutoka juu kuwachezesha hawa kina Bocco na Saido
Akuna cha shinikizo hapo kwani issue ya phiri na kocha imeanza leo? Si tokea msimu ulioisha alikuwa anamchunia tu, bocco na saidoo umri umewatupa tiyali awezi kurisk kibarua chake kukumbatia wazee hao na kumuacha phiri nje kuna kitu akipo sawa kati yake kocha, maana kama ni kupona alishapona kitambo na mbaya zaidi wachezaji karibia timu nzima wamecheza yeye katengwa kama mgonjwa wa ukoma!!!
 
Sasa unasema nini na mimi nimesemaje? Kama unaona hawezi kurisk kibarua chake kwa kuwapanga wazee, kwa nini sasa anawapanga?
 
Tatizo lenu mnawahi "kufika msh..do" mapema mnooo ilihali ninyi ni wanaume watu wazima[emoji1787][emoji1787]
 
Robatinyo hana maisha marefu simba. Kwanza ana chuki sana . Amemchongea mgunda mpaka akachomolewa pale, yan mm ningependa simba wamuamini Juma mgunda na kumpa hichi kikosi tena mgunda kila game alikuwa anampanga Phiri na performance yake ilikuwa juu sana ila hii punda sijui ina shida gani
 
Kwanini unataka Phiri acheze anaenda kuoffer nini?
 
Nikajua ni Mimi tu aisee.........

Yaani mara 100 wamuuze tu akatafute mahala pengine..... kocha anataka kuua career yake ama........

Mm pia inaniumiza mpk nimeenda kucoment kwa page ya simba inaumiza san na anatia huruma mno huyu jamaa anaujua mno laiti coach angejua Phiri ametutoa wapi asinge mueka yule mvuta bangi ambae hata pasi zake hazina macho (kibu) wanaenda kuua kipaji cha huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…