Kweli uchungu wa mwana aujuae mzazi

IKISU

Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
64
Reaction score
13
Mama wema jana kaongea kwa uchungu sana kuusu magazeti yanavyo mwandika mwanae na kupata faida kubwa kupitia mgongo wa wema,uku wakimwashia sifa mbaya sana mwanae, lakini je ni kweli wema nae anaumia kwa kuandikwa au yeye mwenyewe ndie anapenda kuandikwa kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…