Kweli Ukikua Utaacha.....

Mhhhhhhh!
Mkuu mimi situmii kabisaaaa, naweza sababisha vita hiyo isiyoisha maana naishi na Ninja siku hizi!
Sema tu huwa naona kwa jamaa zangu wengi ambao wamekuwa hivi siku hizi.
Ila wenyewe wanakwambia pombe ya nyumbani hainogi...
 
Ila wenyewe wanakwambia pombe ya nyumbani hainogi...

Teh teh teh
Hujakosea kabisa, ile kitu kama Pepo yani.
Inaendana na matendo ya kujitoa ufahamu na inanoga tu kwenye mazingira hatarishi.
Kwasababu ukinywa inakutoa aibu na utafanya kwa ujasiri yale yote uliyokusudia kuyafanya.!!!
 
Hahahaha,
Mkuu na harakati za Bavicha unamuachia nani tena ???

Ahaha halafu watu wanadhani nina uhusiano wowote na CDM, kwa upande wangu sipendi kuona mtu anaonewa. Ni rahisi sana ninunue ugomvi hili mtu asionewe.
Kwa upande wa siasa sina chama chochote wala sijawai kumchagua kiongozi yoyote, kiufupi sipigagi kura.
 

Wewe Ubisu wa Ngariba na zile Kauli zako ukose Chama kweli ???
Kama unatetea ukweli basi hongera sana mkuu lakini kumbuka kuwa na chama siyo dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…