Mnawafinya, lakini kila siku wanaendelea tu kuwatukana! Hakuna mlichojifunza katika hili?Mradi usitukane tu, ukitukana utafinywa.
Mbona tamko hajatoa kuhusu Sativa? MmmmhMkuu Samia hapendi haya mambo Kuna wahuni tu wanalipana Kodi zetu kutupiga risasi.
Hamjadhibitiwa ila kuna kitu kimepenyezwa kati yenu kinachowafanya muwe waoga, mkose mshikamano na mgeukane.Ni kujikosea heshima kupigana na mtu aliyefungwa kamba mikono na miguu.
Askari anayejikubali hawezi kwenda kuwinda wanyama mbugani..roho yake lazima imsute. Yeye amefundishwa kupigana na wapiganaji, Ni kwanini akamtafute mnyama asiyeweza kujitetea?
Simwongelei Sativa, hao ni wengi na nilishaongea na hakuna kilichobadilika! Nadhani ilitusaidia nerve agent VX..
Vijana tunaumia Sana Kisaikolojia!
Sasaivi matajiri wakubwa wanatokea serikalini!
Ukiuliza ule mjengo wa nani? Utaambiwa bwana mmoja serikalini.
Hizi semi za Nani.. watu wa serikali
Anaiba Sana wazee, na kila mahali ukienda ni mifumo inatengenezwa. Watu ni wale wale!
Sasa sisi tutatokea wapi? Lini na sisi tutashika hela?
Nilimsikia Mavunde juzi akiwa kahama kwenye tamasha sijui la malkia wa nguvu...mpaka nikakata tamaa!
Anachokiongelea kuhusu wachimbaji wadogo ni almost Kama hakipo, hao viongozi waliowekwa wa wachimbaji ni mamilionea na almost Kama hawana uhusiano na uchimbaji mdogo..
Unajiuliza Sasa nafanya nini, kila mahali kuko tight, Kuna watu na watu wana watu!
Hilo ni eneo moja tu nimegusia lakini situation iko hivyo all around.
Sasaivi kijana akimaliza chuo Kama anatokea kwa wakubwa anasema waziwazi..mlikua mnaniona wa kawaida, Sasa ngoja muone tofauti!
Yani tunalazimika kulamba matako wakubwa ili angalau maisha yaendelee.
Sasa wakuu, hamna sababu za kutufanya tujinyonge au tunywe sumu au tuongee mitandaoni mtukamate mkatulawiti.
Fanyeni hivii! Kwakuwa mmeamua kuwe na jamii ya madaraja, nyie kaeni hapo juu ila msisahau kutupa mifupa huku chini!
Aluta continua!
Victoria Ascereta!
Sio kwa TZ hii, mwengee una kitu sio buree, ule moshi sina imani nao kabisaaa. LolHawa wanaoteka watu watz wanawachekea tu.Nguvu ya umma ikiamua hakuna atakayezuia hata liwe jeshi hakuna wa kuzuia.Kwa Nchi zinazojitambua kama zile za misiri,Tunisia ,Algeria ,Kenya na Libya kitendo Cha huyo aliyetekwa na hao wa huni policcm tungeanza maandamano Nchi nzima ikiwezekana kuchoma moto vituo vyao vya utekaji kama Hivyo alivyosimulia mtekwaji(karakana ya wauaji osterbay).watapiga masase mwisho watachoka wenyewe.policcm Hawazidi hata laki mbili dhidi ya raia zaidi ya milioni55
Boss Mimi ni activist, soma post zangu za juu!Hamjadhibitiwa ila kuna kitu kimepenyezwa kati yenu kinachowafanya muwe waoga, mkose mshikamano na mgeukane.
Mkiweza kutengeneza ummoja usio yumbishwa even system haito watisha
Unaona sasa, wako masela wanaokujua walitumwa, system has succesfuly imeweza kuwa turn one against each other, imefanikiwa kuwa devide and rule.Boss Mimi ni activist, soma post zangu za juu!
Kuna masela walitumwa kwangu uzuri walikua washkaji, wakati ulee tukaonge tukamaliza.
Ila Ni hatari kubwa
Huwezi kucompare political system ya Kenya na hapa.. Ni vitu tofauti Sana.Unaona sasa, wako masela wanaokujua walitumwa, system has succesfuly imeweza kuwa turn one against each other, imefanikiwa kuwa devide and rule.
Kinachowafanya vijana wa kenya wawe effective, ni umoja usiotisika, wote wanaongozw ana common goal
Kachukua hatua gani, otherwise keshatoa baraka zakeMkuu Samia hapendi haya mambo Kuna wahuni tu wanalipana Kodi zetu kutupiga risasi.
Uko right kwneye kitu kimoja katiba nayo ina wabeba, but hiyo peke yake is not enough, kuna kitu kinaitwa udhubutu. Incident uliyo elezea hapo ni rare but most of the police walikuwa wakifanya kazi yao as usual.Huwezi kucompare political system ya Kenya na hapa.. Ni vitu tofauti Sana.
Hao Gen Z wana watu nyuma yao.
Wewe umeona kwenye maandamano Kuna watu tena wenye uniform wanagawa maji.. bado unadhani maandamano yamejiibukia tu?
Atoe tamko Gani tena hiyo siyo state threat mkuuMbona tamko hajatoa kuhusu Sativa? Mmmmh
Kufinya ni kufanyaje vile? Sijaelewa naomba ufafanuzi.Hivi Sheria inasemaje Mtu akitukana?Yàani akifikishwa Mahakamani Mwendesha mashtaka anahitaji aje?Na adhabu ni kifungo au fine?Ufahamu Tu ili hata kwene simu Mtu akitukana ajue kuna Kufungwa.Mradi usitukane tu, ukitukana utafinywa.
hahahahahaaaa mkuu umenikumbusha ile scenario ilitokea nikiwa huko!Kwa hakika hawatosahau.Nashangaa mtu umeshakuwa influencer mkubwa unakosajekosaje kakitu😄..Basi hauna hako hata kale kakifaa kakuwapoza!!!Sasa kama unaishi kinyumbu nyumbu, kwa nini usiuwawe!! Vijana gani nyinyi mpaka wazee wanawashinda nguvu na maarifa? Yaani kirahisi unakubali kutekwa, na kwenda kuuwawa!! Huna nguvu wala maarifa ya kujitetea!!
Na kama huamini hiki ninachokiongea hapa, basi wewe ulizia tu kuhusu historia ya tajiri wa mabasi kule Mara kwa jina la Zakaria. Kuna watu wasiojulikana wasiopungua wanne hivi walijaribu kumteka!
Kilichowakuta, kamwe hawatokuja wakisahau katika maisha yao yote hapa duniani.