Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wenge piga msuli ...Habari wana JamiiForums
Hivi jamani wapo kweli watu waliopata kazi au ajira za kudumu kwa kutoa kiasi cha fedha (hongo, bakhshishi, takrima) au kupitia kwa waganga ili waweze kupata KAZI?
We unaamini kwamba mtu anaweza pata kazi kwa kuroga?Mkuu,
Humu usitegemee watu watakuambia kua wamefanikiwa kupitia kwa waganga,hapa kila mtu atakana hata kama kweli anaenda.
Kikubwa usikilize moyo wako unasema nini..
All in all nakutakia Kila la kheri Mpambanaji.
Mimi naamini uchawi upo master na mafundi wa mambo wapo pia.We unaamini kwamba mtu anaweza pata kazi kwa kuroga?
Mganga mwenyewe anatafuta kazi hapo alipo.Tuliza kichwa mkuu kazi inapatikana kwa njia halali iwe leo, kesho ama kesho kutwa kuwa mvumilivu.
Mi nashangaaaga sana akili za sisi wa afrika aisee.Mganga mwenyewe anatafuta kazi hapo alipo.