Hivi kuna watu bado wanaangalia video za muziki. Kuna nini jipya? Nahisi nimeshaona kilakitu kwenye musik videos tangu miaka mingi sana. Hata mtoto wa darasa la nne anaweza ku edit video ya muziki sasa.
Yaani hawa jamaa wanahitaji mwanamke kutafuta hela. Saa hii ni akili au utumwa??