Kweli Yanga mnamuacha Kiiza?

Yes mkuu.
Yanga wamemuwekea mezani $35,000 yeye kachomoa anataka $50,000!!!!!
Ngasa kalamba $30,000 tuu,sasa yeye na Ngassa nani jembe?
Kiiza ni zaidi ya jembe....physique yake ni ya-kisoka; akipata kocha mzuri akampika kisawasawa anaweza kutisha; naomba sana atue Msimbazi mje muone soka itakayo kuwa inatandazwa.
 
Kiiza ni zaidi ya jembe....physique yake ni ya-kisoka; akipata kocha mzuri akampika kisawasawa anaweza kutisha; naomba sana atue Msimbazi mje muone soka itakayo kuwa inatandazwa.
Sasa si bora aende KILUVYA UTD?
 
Mimi si mwanaYanga lakini kwa washambuliaji mlionao sasa Kiiza ni bora kuliko hao wengine, labda kama mtasajili lakini mkibaki na hao kina Tegete, Bahanuzi na Kavumbagu ni mara kumi aondoke yeyote ili Kiiza abaki.
 
Kwa majembe tunayoyapigia misele yakisaini pale Msimbazi muombe tusikutane kule Sudan, tukikutana lazima tuwapige tano nje ya nchi.

Sudan hatuwezi kukutana na Simba kwa vile watatolewa mapema sana.
 

Kweli, lakini tofauti na SCUD ambaye alikuwa anaifunga Simba tu,huyu ni proven striker anayefunga timu yoyote,wangekaa nae tu waelewane,akienda Msimbazi tumeumia.
 
Yes mkuu.
Yanga wamemuwekea mezani $35,000 yeye kachomoa anataka $50,000!!!!!
Ngasa kalamba $30,000 tuu,sasa yeye na Ngassa nani jembe?
Ngassa ana akili za maiti..hajitambui..yule hata bure angesajili Yanga.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mpaka hao akina Bahanuzi na Tegete wafanye kazi ya ziadi pale mbele wajifue.
 
Dah atakuwa amedanganywa na mzee wa BASTOLA kuwa atampa zaidi ya $ 50,000.

Chezea msomali wewe.

MWACHE AONDOKE.
Msomali hana kitu,timu yake ilishamshinda kitambo.
 
Hili ni wazo makini, mi pia nina mtizamo kama wako. Yanga wakipata fowadi (scorer) angalau mmoja mwenye nguvu itakuwa tishio, wangeachana na the likes of kiiza, kabange sijui beko halafu hizo hela wakainvest kumpata mshambuliaji wa maana!

Spot on mate,that is the thing..proven goal scorer,period...
 
Ngassa ana akili za maiti..hajitambui..yule hata bure angesajili Yanga.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Ni kweli Ngassa angesajili Yanga hata bure kama Kaseja alivyosajili Simba akitokea Yanga.
 
Ni kweli Ngassa angesajili Yanga hata bure kama Kaseja alivyosajili Simba akitokea Yanga.

Mwacheni atimize mapenzi yake,kila mtu anafanya ambacho roho yake itafurahi.Nani hapendi kuwa na mwanamke mzuri?
 
Kiiza limebakia jina tu, si mchezaji wa kutisha kama ambavyo jina lake lavuma...Hata akiondoka leo sidhani kama safu ya mbele ya Yanga itatetereka maana naamini wapo wengi tu wenye kaliba kama yake...
 
Kiiza limebakia jina tu, si mchezaji wa kutisha kama ambavyo jina lake lavuma...Hata akiondoka leo sidhani kama safu ya mbele ya Yanga itatetereka maana naamini wapo wengi tu wenye kaliba kama yake...

Huyo ni mcheza mkuu,amini haya niyasemayo.......
 
Huyo ni mcheza mkuu,amini haya niyasemayo.......
Miaka yote Yanga huwa wanatumia wings kujenga mashambulizi, tena hutumia wingers wenye mbio, chenga na kupiga krosi...mfano wa o kwa uchache ni Lunyamila, Said Maulid, Kipese, Ngassa n.kSasa kwa formation ya 4-3-3 ambayo Yanga wamekuwa wakiitumia kwa muda sasa, unaona kabisa Kiiza anavyokosa ile composure na kuweza kukikimbiza mabeki wa kushoto au ku-cut inside...Kwangu bado namuona ni mchezaji wa kawaida sana tu...
 
Hiyo timu ni ya daraja la ngapi mkuu.
Mkuu hiyo 'KILUVYA UTD'ni timu ya wauza 'NAZI' ipo kibaha maili moja na inashiriki ligi ya wilaya kibaha!

Cc Masau Bwile -msemaji wa chama cha soka kibaha-pwani.
 
Last edited by a moderator:
Mimi bado namkubali sana.
 
Nasikia kashasaini mpaka 2017..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…